Mahausigeli wanaopandisha mashetani wanavituko kweli, Juzi wa kwetu amepandisha mashetani na kuvua nguo zote na kubaki uchi eti jini lake halitaki aolewe wakati yeye mwenyewe alidai ana mchumba. Hawa mabinti kwa kutega watu, noma babu kubwa!
Wapo wasicahan wanaopewa dawa au hirizi na wazazi...
Habari wanajamvi.
Naomba kueleweshwa kuwa ni kwanini wanawake wengi waliojaaliwa na mwenyezi Mungu uzuri wa tabia na maumbo mazuri kwanini hawaolewi mapema wanakaa mda mrefu.
Mimi hapa nilipo ninategemea kuolewa mwakani inshala mwenyezi Mungu akijaalia lakini rafiki yangu analalamika kila...
Mahakama hiyo hiyo imemruhusu kiongozi wa mashitaka kukata rufaa dhidi ya kosa alilopatikana nalo hatia Oscar Pistorius la kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Imeelezwa kuwa kesi hiyo, sasa itaanza kusikilizwa katika mahakama ya juu zaidi upande wa mashitaka ukitaka Pistorius ahukumiwe kwa...
NI miezi mitano sasa imekatika tangu kusambaa kwa picha mitandaoni zilizomwonesha mwanaume mmoja akiwa ameshindiliwa sululu kichwani huku kisa kikiwa hakijulikani.
Baadhi ya mitandao iliandika kuwa, jamaa huyo alipigwa sululu baada ya kufumaniwa na mke wa mtu gesti, mingine ikasema hapana...
Asante kwa taarifa nitakuja, hawa madaktari walinisaidia wakati wamekuja Bunda mwaka 2008 nilikuwa na tatizo la macho hadi leo wamekuwa msaada mkubwa kwangu, mbarikiwe na Mungu japokuwa sijajua madaktari wa kipindi hiki wanatokea wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.