TOFU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2012
- 573
- 196
Ivo ivo ndio kamaanisha wala usimjudge..!!Mimi sijamwelewa hapo Makamba. Ajali inapotokea kuna mambo matatu yanaweza kutokea nayo ni Kifo, majeruhi au Salimini(Uzima kabisa), sasa anaposema Majeruhi wasiwepo, anataka wawepo Waliosalimika na waliokufa?
Nadhani anapaswa kuwa smart anapoandika kwenye wall yake, la sivyo italeta tafsiri mbaya.
Ndio kamaanisha ivo.