Habari ndugu zangu naomba mwenye kujua jinsi ya kupata namba za nida nazipata wapi na nini kinahitajika ili kukamilisha mchakato huu
Naombeni msaada kwa wenye kujua
Rekebisha sio mtoto wa dada yako sema ni mtoto wako acha kuzunguka mbuyu ila pole sana ndugu yangu Dunia imekuwa si sehem salama siku izi inshallah atakuwa sawa kama awali.
Je kama chumbani kuna panya wenye asili kama wachawi maana hawategeki na wanakula mpaka mbao nawafanyaje kiasili mana kama wametumwa sio panya wa kawaida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.