Recent content by NkumbiSon

  1. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Je router gani inafaa kwa Matumizi ya Ofisini na Nyumbani !!!

    Kwa tanzania ni makampuni gani yanayotoa huduma za Internet kwa router?
  2. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Dudubaya ajue Bwanaake Yesu alikaa na Mashoga na watoza ushuru. Alikuja kwaajili ya Mashoga na wenye dhambi. Aache kujifaragua. Aache kuu-promoti

    Kama Biblia inawatambua mnakataa nini kuwa hawajawahi kukaa na Yesu? Au kwasababu hawakutajwa?
  3. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Tumefikaje hapa tulipo?

    Tumefika hapa baada ya familia kukosa malezi yenye utu na maadili kuanzia nyumbani shuleni hadi makazini
  4. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Mapungufu yetu kama Taifa yalianzia hapa 1984 tulipobadili katiba ya Zanzibar

    Utam unakuja utam unakata
  5. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Rudini mtuambie kama sisi wa Tecno tumeshafikiwa
  6. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Logical contradictions zilizopo kwenye kitabu cha Mwanzo cha Biblia ambazo ni uthibitisho tosha kwamba, Biblia ni hadithi na hekaya za kutungwa tu!

    Siuoni utata katikabhabari za uumbaji wa sikuvya kwanza na ya nne. Biblia imeandikwa kwa utaalam na mpangilio wakimantiki kuliko kitabu kingine chochote. Siku ya kwanza hadi ya tatu Biblia inaujulisha uumbaji kama taharifa, ila kuanzia siku ya nne mpaka ya sita, inakufafanulia vitu hivyo...
  7. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    Uzi uishie hapa...!!!!
  8. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Injili za kileo,mahubiri ya siku za leo

    CATHOLIC NA KKKT utakutana nao kwenye Jumuia ni wakali hao..! Bila Jumuia wewe sio muumin wao inshort wametoka kanisani sasahivi wapo mitaani.
  9. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Kaka zangu naomba mnisaidie.Sitaki kurudi Misri ya u singo maza

    mengi umeshauriwa, maana Men tnafanana kihisia ndio maana dem malaya haolewi na wanaume wa taa wake. Nyngeza ni Hii Make sure huyo uliezaa nae haumongelei vibaya wala hovyohovyo na zaidi kwa lolote linalomuhsu mtoto wako hakikisha haumfichi braza chochote, na kubwa kuliko usitake ampende huyo...
  10. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    akifungwa tatizo silinakua kwenye safu ya ulinzi mkuu
  11. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    mvumilieni bado hajazoea mazingira
  12. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania FT | Yanga SC 1-0 Simba SC | Ngao ya Jamii | New Amaan Complex | 12.08.2026 | Yanga mabingwa

    wakialikwa wana alikika
  13. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii ramani ya hii nyumba

    hii iko vizuri zaidi, hiyo veranda waionganishe mwanzo mwisho kusiwe na vichochoro vitaharibu shape ya paa
  14. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo ya Sh 20,000 kwa ajili ya cheti cha kuzaliwa RITA yanahusisha nini na nini? Kwanini natoa malipo ya ziada kama ya lamination?

    NIDA mchawi wao RITA.. 20,000/ ni kubwa sana wengi wanakwamia hapo.
Back
Top Bottom