waeza kua sawa au nikawa sawa.
Ni hivi, tumezaliwa tuzaliane kwahiyo kile kitendo chakukwepa kuzalisha mimi ndio nakiita uzinzzi mfano, kuvaa condom, kumwaga nje, kupiga punyeto na yote yasiyoruhusu mbegu kuingia katika mzunguko wenye ueezekano wa kuzalisha.
na umalaya ni ile hali mwanamke...
kama natumia umeme chini ya Unit 72 kwa mwezi na yule wa zaidi ya Unit hizo wote tukipata bei moja ya Unit kipi kitatokea.?
Namaanisha mfano Vocha za Simu wote tunanunua bei moj kwa wiki, kuna wanaomaliza kwa siku na kunawasiomliza mpaka wiki inaishi kwa nini na Luku isiwe hivyo?
Bado sijakushauri mkuu, nimejaribu kukuonesha tatizo linapoanziaga kwa changamoto unayoipitia. Huruma inabeba maana nyingi katika usemi huu wa huruma sio malezi.
ushauri wangu sasa, jaribu na jitahidi kua smart zaidi yake, kwa mifano uliyoitoa badala ya kuweka pattern kwenye lock ya simu...
Mi naamini katika Rika zaidi kuliko Umri, Ukifuatilia Miaka stress zinakua nyingi na changamoto zisizoisha za kila siku maana utaishi kujilinganisha na wenye umri kama wako kumbe kirika unaweza jikuta upo miaka 10 nyuma ya uliyonayo na ukapata nguvu yakuendelea kuipambania kesho yako.
Binafsi nieleavyo mimi, mzinifu ni mwanaume asiyemwaga mbegu zake katika uke, na hii isihusishe na ubakaji. na malaya ni mwanamke anayejihusisha kimapenzi na wanaume zaidi ya mmoja aliyemtoa bikra, bila sababu za kifo.
Hizon zimekua tabia mama kwa wanawake wanaoolewa au kuishi kinyumba na mwanaume kwa miaka ya sasa. kama mna atoto mchukulie kama House Girl bila kujijua.
Inauma na inaumiza sana, sina maneno mengine yakuieleezea hisia yangu juu ya Muziki na namna Unavyochukuliwa na wanaojiita wadau wa Bongo Flava.
Sipendelei sana kuandika nyuzi ila mpaka leo nimeamua kuandika, ni vile nimeshindwa kuvumilia. Wote tunafahamu hapo majuzi kati kulifanyika tamasha...
Na bado ameumiza sana kwenye chorus za ngoma mbalimbali kama vile. NICHEKI YA O-TEN, MKUKI MOYONI YA AFANDE SELE, HESHIMA YA NDOA YA BON CREW, NIKO BUSY NA MPENZI WANGU SAMAHANI YA JAFARHYME
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.