Recent content by NkumbiSon

  1. NkumbiSon

    Simba leo walau imecheza

    Njia Iliyotumika Kupima Ubora haina tofauti na ile ya ukiwa na D2 tu umefaulu.
  2. NkumbiSon

    Kuna cha kujifunza hapa mafundi ujenzi

    Tatizo pia Sisi Mafundi hatubadiliki kujiongeza kuendana na wakati. Kama ubunifu unakuwepo hiyo M1 mteja ataitoa tuu
  3. NkumbiSon

    Oa kulingana na mazingira: Vijana wengi waliowaleta mabinti wa vijijini waishi nao DAR wamejifunza kwa uchungu

    Waeleweshe Vizuri,, Ni Hivi, kama unaishi mjini tafuta mke mjini, ukitaka wa kijijini hamia hukohuko ukaishi nae.
  4. NkumbiSon

    Saa ya Kikwete (PHILIP STEIN) inauzwa bei gani?

    Mens PHILIP STEIN Signature Dualtime Chronograph
  5. NkumbiSon

    Matatizo ya charger system yanazidi kushamiri🔥

    tena hizi type C ndio balaa bora zingekua za upande mmoja
  6. NkumbiSon

    Barua ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda FIFA

    Kama malalamiko yatakua na Ukweli wa kanuni kuvunjwa, Haitaangaliwa mlalamikaji ni nani? Mark My Words!
  7. NkumbiSon

    Tafakuri ya leo

    Kaini alizaa a Dadaake na ndio kisa cha ugomvi uliopeelekea kifo cha Abel kwakua walikua wakimgombania.
  8. NkumbiSon

    Tafakuri ya leo

    Habari za Vizazi katika Biblia zilizingatia zaid ma MAIN CHARACTER wa story. Mfano, soma habari za uzazi wa Yesu Kristo utakuta ni wanaume wamezaana... je hapakua na wanawake?
Back
Top Bottom