Recent content by NkumbiSon

  1. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Ijue sanamu ya David iliyochongwa na Michelangelo

    hauwezi kuchonga kama haujui kuchora
  2. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    waeza kua sawa au nikawa sawa. Ni hivi, tumezaliwa tuzaliane kwahiyo kile kitendo chakukwepa kuzalisha mimi ndio nakiita uzinzzi mfano, kuvaa condom, kumwaga nje, kupiga punyeto na yote yasiyoruhusu mbegu kuingia katika mzunguko wenye ueezekano wa kuzalisha. na umalaya ni ile hali mwanamke...
  3. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa 18 to 29 hafai kwa ndoa kabisa

    ungefupisha kakuweka wazi tuu.. wanawake waliozaliwa kuanzia mwaka 2000 OA ka tahadhari yako binafsi.
  4. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Hizi kero ambazo NMB bank inawapa wateja wake?, ni nani anapaswa kuwajibika?

    Nilidhani ni ushamba wangu. Kidogo nionekane tapeli ka Wakala
  5. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    TUWEKEE TARIFFS ZOTE ZILIZOPO GHARAMA ZAKE NA AINA YA WATEJA NA HIZO OFISI ili tusie na maswali mengi
  6. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Responded HOJA TANESCO, naomba kujua utofauti wa bei za unit za umeme inasababishwa na nini?

    kama natumia umeme chini ya Unit 72 kwa mwezi na yule wa zaidi ya Unit hizo wote tukipata bei moja ya Unit kipi kitatokea.? Namaanisha mfano Vocha za Simu wote tunanunua bei moj kwa wiki, kuna wanaomaliza kwa siku na kunawasiomliza mpaka wiki inaishi kwa nini na Luku isiwe hivyo?
  7. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Bado sijakushauri mkuu, nimejaribu kukuonesha tatizo linapoanziaga kwa changamoto unayoipitia. Huruma inabeba maana nyingi katika usemi huu wa huruma sio malezi. ushauri wangu sasa, jaribu na jitahidi kua smart zaidi yake, kwa mifano uliyoitoa badala ya kuweka pattern kwenye lock ya simu...
  8. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Maana yake kwa kesi yako, usiichezee nafasi uliyonayo kama kiongozi wa familia.
  9. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitambo chetu

    Mi naamini katika Rika zaidi kuliko Umri, Ukifuatilia Miaka stress zinakua nyingi na changamoto zisizoisha za kila siku maana utaishi kujilinganisha na wenye umri kama wako kumbe kirika unaweza jikuta upo miaka 10 nyuma ya uliyonayo na ukapata nguvu yakuendelea kuipambania kesho yako.
  10. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    Binafsi nieleavyo mimi, mzinifu ni mwanaume asiyemwaga mbegu zake katika uke, na hii isihusishe na ubakaji. na malaya ni mwanamke anayejihusisha kimapenzi na wanaume zaidi ya mmoja aliyemtoa bikra, bila sababu za kifo.
  11. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Unaweza kuoa lakini vituko vya mke vikakufanya uingie kwenye tabia hatarishi

    Hizon zimekua tabia mama kwa wanawake wanaoolewa au kuishi kinyumba na mwanaume kwa miaka ya sasa. kama mna atoto mchukulie kama House Girl bila kujijua.
  12. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Mziki unapotukanwa siwezi kuvumilia miaka 30 ya bongo fleva

    Inauma na inaumiza sana, sina maneno mengine yakuieleezea hisia yangu juu ya Muziki na namna Unavyochukuliwa na wanaojiita wadau wa Bongo Flava. Sipendelei sana kuandika nyuzi ila mpaka leo nimeamua kuandika, ni vile nimeshindwa kuvumilia. Wote tunafahamu hapo majuzi kati kulifanyika tamasha...
  13. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Ebu tujitengezee wenyewe miaka 30 ya bongoflava ya JF. Tujikumbushie mangoma, mastori na moments

    Na bado ameumiza sana kwenye chorus za ngoma mbalimbali kama vile. NICHEKI YA O-TEN, MKUKI MOYONI YA AFANDE SELE, HESHIMA YA NDOA YA BON CREW, NIKO BUSY NA MPENZI WANGU SAMAHANI YA JAFARHYME
  14. NkumbiSon

    JamiiForums Tanzania Ebu tujitengezee wenyewe miaka 30 ya bongoflava ya JF. Tujikumbushie mangoma, mastori na moments

    JINSI KIJANA KIGHETOGHETO AAH WAPI BIASHARA YA UTUMWA CCM NA CUF.
Back
Top Bottom