wajeuri kweli mfano. channel ya st. swahili siku nzima wanaweka tamthilia za kihindi wanadhani kila mtu anapenda maigizo hayo badala ya kuweka za kitanzania duh.
Ila P funk majani (bongo records), Royi(G-records), pia mika mwamba ilikuwa shida zaidi ya huyo dunga, kwa sasa wapo vijana wazuri tu wanagonga vinanda mfano...S2kizzy, Lizer, Blacky ni shidaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.