kiuhalisia Hali sio shwari Kanda ya ziwa. imekuwa wahanga wamikataba mibovu sana ktk nchi hiii.
wameuza madini yetu. wamepora ardhi yetu. watu wake masikin kwenye utajiri wakutupwa
then wanakuja navihoja vyakkuokoteza wameuza bandari kwawajombo zao. tuwazomee wote hawa
magufuli aliziba mianya ya wahuni. waakaanza kumuita jina baya kwa sauti ili wamuue. nakweli wakafanikiwa. ila. damu yake. nambegu aloipanda kwa watanzania itamea hatumaye itaota mizizi ipo siku ambayo Haina jina. atatokeaa zaidi ya magufuli. nchi itasonga
akili huna.
ndo watu. wanaojitambua. nakutambua thamani ya rasilimali. zetu. bila kujipendekeza kwa watu. angalia chuma alivokuwa Dunia mzima ilisimama nakuanza kujiuliza. mbona wananchi wanaambiwa ukweli kuhusu rasilimali za nchi yetu. zikaanza kunufaisha. nchi na sio kikundi kidogo chawaporaji
huna akili wew. umri 32 hujaolewa unasubili Nini Sasa afu unasema mume awe na degree kwani hiyo degree inakuoa. [emoji1][emoji1] eti awe hana mtoto. mmmh we dada unaota au upo sawa amka. nenda kajisaidie mana naona usingizi umekizidia namindoto ya...
raisi antakiwa awe mtu wakijiamini. kama alivokuwa MUGUFULI Tanzania Dunia nzima ijue kweli nchi inakiongozi. sio mapapet tilulio nao Leo wengi wao wanafiki wamejawa masilahi binafsi aibu kabisaa
mjinga saana ww
nchiii inawazarau saana wasukuma kwasababu yaupole naukalimu wao wanaonekana wajinga ila naamini IPO siku wakiamuka nakujiunga nchiii haitakuwa salama mwenye akili ataelewa
na Sasa underground movement zitaanza kuhamasisha umoja wajimii wyakisukuma kujiokoa namanyanyaso...
jambo hili linaniumizaga saana Mimi unakuta huna mtaji hata wa 20m. ila unakutana mamibango. nchi nzima
mfano. tuna halimashauri 138 Kila halimashauri Bango 500
maana yake. 238x500= 69000
chukua bango 69000x1000000=69000000000
bilioni 690 yaani zinaweza kulipa bima ya afya nchi nzima. na...
waziri mkuu. muongo saana. haaminiki
alitudanganya. kuhusu magufuri. eidha alikuwa anajua mgonjwa au amaekufa. anatuambia magu yupo fit. anachapa kazi. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] anaongea kwenye mimbali ya msikiti. unaongopa kabisa msikitin. ambapo tunaamini MUNGU anakuwepo mahala...
Chalamila nimiongoni mwa viongozi Bora saaana anamsimamo. thabiti kabisa ataiweza dsm tena sana namkubali sana yupo smart sana. mfuatiliaji mnooo Tena Hana masihala kwenye kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.