Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,645
Sabalkheri na msalkheri popote pale mlipo.
Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.
Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!
Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?
Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.
Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.
Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.
Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.
Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia 🤔.
Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.
Imekuwa kitambo kidogo tokea tulonge.
Basi bana mi kwa ujinga wangu huu nikadhani kwamba ushamba ushamba uliondoka na Mwendazake!
Sasa Ngabu unazungumzia ushamba ushamba gani tena?
Ni ule ushamba ushamba wa kwenda kupokea ndege mpya.
Nilidhani Bi. Mdashi yeye ni mstaarabu. Nilidhani ye si mshamba kama lile Lisukuma lililoendazake.
Hamadi! Kumbe ndivyo sivyo.
Yeye na wenzake nao ni washamba tu. Washamba wa ndege.
Ndo nini sasa wote hao kwenda kurundikana sehemu moja eti kupokea dege la mizigo.
Kwani hawajawahi kuyaona madege? Si wanayapanda na kuruka nayo kila kukicha wakiwa wanaipuyanga dunia 🤔.
Ama kweli mtu unaweza ukamtoa shambani lakini huwezi kuutoa ushamba uliopo ndani mwake.