akili huna.Wakristo wanaongoza vibaya,ni mtazamo wangu.
ndo watu. wanaojitambua. nakutambua thamani ya rasilimali. zetu. bila kujipendekeza kwa watu. angalia chuma alivokuwa Dunia mzima ilisimama nakuanza kujiuliza. mbona wananchi wanaambiwa ukweli kuhusu rasilimali za nchi yetu. zikaanza kunufaisha. nchi na sio kikundi kidogo chawaporaji