yeye kama Nabii alipaswa kuliombea Taifa toba kwa mwenyezi Mungu ili aweze kutusamehe.. kama kiongozi wa dini alipaswa kutuombea toba na msamaha ili Mwenyezi MUNGU atupunguzie adhabu.
Baada ya jana na juzi kufyeka mapori mikoa ya Lindi na Mtwara, leo ni muendelezo ule ule wa kufyeka mapori katika mkoa wa TANGA. Katika wilaya ya muheza mkutano utafanyika ktk viwanja vya MAJANI MAPANA Kuanzia saa Tisa Mchana na mkutano mwingine mkubwa na wakihistoria ni Tanga mjini katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.