Recent content by Njororiki

  1. N

    Nataka kufanya biashara ya kuuza mbuzi viwandani. Ni viwanda gani wanalipa vizuri?

    Inategemea uko sehemu gani! Kama uko Kanda ya kaskazini, Kuna kiwanda kiko maeneo ya wilaya ya longido mpakani namanga kinaitwa "eliya oversees" nafikiri ni wazuri, unaweza pata soko la uhakika.
  2. N

    Wapi nitapata mabati ya bei rahisi migongo mipana?

    Usithubutu dragon ni kampuni ya hovyo kuliko zote. Mabati ndani ya miaka mitatu yatakuwa yamepauka mbaya.
  3. N

    Mateso tunayopata wateja wa ALAF

    Subiri baada ya miaka mitano utanunua bati mpya.
  4. N

    Kenchi ikikaa muda gani bila bati inaharibika

    Fundi wako ndo hajielewi. Yaani anashindwa kupima urefu wa nyumba na kufanya makisio sahihi? Mbona Mimi nimefanyiwa makisio kwa kupima nyumba na bati imebaki moja tu? Huyo fundi anaweza asiwe mzoefu wa kupaua. Nini kinashindikana Kama ana ramani ya nyumba?
  5. N

    Kenchi ikikaa muda gani bila bati inaharibika

    Uongo mkubwa, dragon na sunshare ni mabati ya hovyo saaana. Mtaani waliotumia kuezekea wanapiga rangi Kila Mara. Hayo mabati yakijitahidi sana ni miaka mitano.
  6. N

    Changamoto ya mchwa kwenye nyumba

    Ona balaa la mchwa.
  7. N

    Bati gani nzuri za Msouth?

    Wengine watakudanganya. Bati za uhakika ni ALAF na gharama yake siyo kubwa Kama watu wanavyodhani. Unaweza kukuta tofauti ni laki tatu au mbili. Sasa nyumba ya kudumu ijengwe na mabati yatakayopauka kwa sababu ya laki tatu?
  8. N

    Dar: Grace Mushi ambaye alimchomea ndani Mpenzi wake, akamatwa na Polisi

    Wanawake wa kichaga ukiamua kumuoa mmoja wao nawe si mchaga unahitaji kujipanga. Wanapenda kutafuta Mali, akiona huwezi kutafuta mnaweza achana, na Kama mnatafuta mkiwa vizuri, anaweza kukutafutia Visa ili mgawane au kukuua kabisa.
  9. N

    Tanzania kuna kabila linaitwa Waarusha au ni Wamasai mmeamua kujiita hivyo?

    Nitajie tofauti tatu Kati ya wamasai dhidi ya waarusha,nje ya geographical location.
  10. N

    Basi la Kandahar (Karagwe-Moshi) laungua moto huko Karagwe

    Ukweli amekuwa msaada sana kwa route hiyo. Hivyo wenyeji wanamhitaji kuliko anavyo wahitaji. Tatizo nafikiri ni wafanya biashara wa magari yanayoanzia mkoani. Amepunguza abiria wao hivyo wanaamua kumkomesha ili abiria wawe wanaanzia route mkoani siyo Kama yeye aliyejiongeza na kuanzia wilayani...
  11. N

    Basi la Kandahar (Karagwe-Moshi) laungua moto huko Karagwe

    Imekuwa ni kawaida kwa magari ya route hii ya kampuni hii kupata ajari. Ninachoshangaa waandishi wahabari hawaripoti. Nimeshapata ajari na mabasi haya kwa route hii Mara mbili kwa mwaka Jana.
  12. N

    Basi la Kandahar (Karagwe-Moshi) laungua moto huko Karagwe

    Daah. Huyu jamaa mwenye kampuni naamini anapitia najaribu makubwa kwa route ya karagwe to Arusha. Nakumbuka mwaka Jana magari ya kandahari ya route hiyo yalipata ajari zaidi ya Mara mbili. Moja ya ajari nilikuwa abiria. Cha kushangaza yanapata ajari yakiwa yanatoka karagwe ni siyo wakati...
  13. N

    Namuunga mkono Kigwangalla dhidi ya MO Dewji

    Hivi siyo kwamba kigwangala katumwa ili migogoro isiyoisha ianze pale clabuni? Hivi tunaweza kumpa timu akaiendesha hata kwa miezi miwili? Hata kama hiyo 20b haijaletwa na timu inahudumiwa ipasavyo hawezi shauri uongozi kwa kutumia njia sahihi badala ya kushutumu mitandaoni.? Haoni maadui zetu...
Back
Top Bottom