Recent content by njombefinest

  1. N

    JamiiForums Tanzania Ukizungumzia suala la Katiba Mpya, maana yake unaizungumzia ilani ya uchaguzi ya CCM 2025-2030

    Kwa hakika ni kiu ya kila mtanzania kuona katiba mpya ikiandikwa wote wanaokwamisha wapewe kesi ya uhaini!!
  2. N

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Kwani wewe huamini kama Kuna magaidi nchini?
  3. N

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi ahimiza Watanzania tupambanie Katiba Mpya. Ni yeye au AI?

    I second you!!
  4. N

    JamiiForums Tanzania Misheni iliwekwa sawa mipango ikaparanganyika sasa tunakwenda nayo kwa namna yeyote

    ""Kidijteta"" uvanda kila pahala
  5. N

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake wa kizazi hiki hawataki kuolewa mapema Pindi wanapochumbiwa?

    Wanawaza umalaya tu hakuna lolote sasahivi kila mwanamke ulitaka kuanzisha mahusiano anakutathmimi kama una utajiri ambao ukoo wao wote walishindwa kuupata
  6. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kidogo Cha mafuta ya kula

    Sure mkuu nitazingatia
  7. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kidogo Cha mafuta ya kula

    Changamoto ya AI huwa Haina real time accurate data
  8. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kidogo Cha mafuta ya kula

    Aina au jina ipi la machine unayoshauri
  9. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kidogo Cha mafuta ya kula

    🙏
  10. N

    JamiiForums Tanzania Kiwanda kidogo Cha mafuta ya kula

    Wakuu habari za Leo naombeni msaada mwenye taarifa zozote juu ya mtaji, gharama za mashine, malighafi Kodi na tozo zote za serikali anisaidie hapa zinazohusiana na kiwanda kidogo Cha mafuta ya alizeti Natanguliza shukrani 🙏
  11. N

    JamiiForums Tanzania Miaka michache ijayo wadogo na watoto wetu wataoa makahaba wastaafu

    Umezungumza ukweli mchungu
  12. N

    JamiiForums Tanzania Je Ruto alikuja kutuchora Watanzania, na Bunge letu??

    Elimu mbalimbali ndio changamoto
  13. N

    JamiiForums Tanzania Tufanye nini kuupiga vita umaskini?

    Katika hili taifa letu kitu ambacho tunapaswa kupambana nacho Kwa nguvu basi ni umaskini wa kutosha ulipo Tanzania ukizunguka maeneo mbalimbali nchini utakuta watu wanaishi katika mazingira duni na yenye kuogofya sana Kuna baadhi ya maeneo watu hushindwa hata kununua nguo. Tukiachana na takwimu...
Back
Top Bottom