Habari wakuu.
Kama heading inavyojieleza, naomba ushauri kuhusu simu ninayoweza kuipata kwa bajeti isiyozidi laki saba na nusu (750k)
Binafsi ninapendelea brand ya samsung na xiaomi
Habari wakuu. Hii ni urgent, anahitajika mfanyakazi atayehusina na procurement, marketing na administration, kampuni ipo Dar es salaam. Vigezo vikubwa viwili awe wa kiume na amehitimu degree. Aliye tayari anicheki haraka.
Kwa wadau ambao wanashindwa kuona grades zao, ukiingia tovuti yao kupitia ile link uliyotumiwa kwenye barua pepe nenda kwenye profile yako> my grades utaona hapo..
1998 shule ya kichangani nakumbuka palitokea matukio kadhaa yanayohusiana na uwepo wa majini shuleni maeneo ya chooni kulikuwa na harufu ya wali wakasema kuwa majini yanapika wali then ticha bigi (Mwl mkuu) aliuwa bundi niliogopa sana. Mwaka mmoja badae tukahamishwa hiyo shule ikachukuliwa na...
Nadhani mkuu kuna kitu ambacho hujakielewa kuhusiana na huo msemo kuwa 'wasanii ni kioo cha jamii'
Msanii anatumia sanaa yake (kuimba au kuigiza n.k) kuonyesha kitu fulani kilichopo kwenye jamii kiuhalisia au kugikirika. Kioo maana yake taswira (ni kama unapojitazama kwenye kioo, utachokiona...
Habarini wakuu.. Kuna tablet ya samsung 4 imeanguka, sasa screen imepata crack ndogo tu ila tatizoo kubwa ni wino unaonekana umetanda juu ya baadhi ya sehemu kwenye screen..
Naombeni mnisaidie ushauri jinsi ya kutatua hili je kuna uwezekano wa wino kutolewa au ni lazima kioo kibadilishwe?
Hakutakuwa na presumption of marriage hapo, diamond hajakaa na zari kwa muda unaotaja, zari ni kama hawara kisheria maana alikuwa anakaa south wakati diamond akikaa tanzania.. (Sijui kama unaelewa maana ya makazi hapo?)
Kuhusu hilo la watoto huwezi mpangia diamond cha kulipa cha zaidi anaweza...
Hongera sana Alikiba.
Hao mashabiki waache unazi, waendelee hivohivo i hope itafika mbali sana maana wengi huwa wanazitelekeza videos baada ya muda fulani..
Huyo Domo nyimbo zake zilikuwa hazipigwi hapo kitambo lakini bado anatisha.. Hao wasanii wanaochezwa nyimbo zao huko wamefika wapi kimafanikio ya kimuziki? (harmorapa, baraka da prince n.k)
Ukweli utabaki palepale, kituo chenye nguvu ni clouds pekee maana wale watu msaada wao hauishii kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.