Recent content by Njo Vile

  1. N

    Toka kwa Wananchi: Kero na vitendo vya kifisadi vinavyoendelea nchini vinavyotakiwa kufuatiliwa

    Nakubaliana kuwa KITWANGA NI MZIGO, madudu yaliyojazana Uhamiaji, Polisi, Idara ya Wakimbizi, na hata Mageraeza, yeye nasikia anatumiwa na wakuu wa idara hizo kujenga hoja za kutetea madhaifu kibao ya huko, eti kwa sababu walisoma naye!!
  2. N

    Tanzia: Profesa Jeremia Nobert Kirway wa Mzumbe University afariki dunia

    Daah! namkumbuka sana yule baba, alikuwa hataki upuuzi na ana huruma sana. R.I.P. Prof.J.N.Kirway
  3. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    Noted mkuu, sometimes discussion is for people - plenary, not necessarily those issues to be practical.
  4. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    Unanilazimisha kukufundisha vitu tulivyojifunza long ago, any way kwa vile nimekuelewa unahitaji elimu ambayo huna, soma hapa: Mental Age: Definition & Explanation | Study.com - Tafadhali elewa vizuri hizo tofauti (difference). Sina hasira tena, hapa tunaelimishana bwana. Kila la kheri
  5. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    Uwezekano wa elimu yako kuwa ndogo sana Aau mental age kuwa ndogo ni mkubwa sana, kama ni shule zakuunga is up to you. Plagiarism is something very different, in short, , is about taking someones work to be yours. Mental age sio experience wala wisdom. Ni kasi ya ukuaji wa akili, kuna watu wana...
  6. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    refer kuna kitu tunaita chrolonical age na pia mental age, unaweza kuwa na miaka 50 ila akili yako ina miaka 25, refer that
  7. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    Bro, stage za makuzi huenda mpaka uzeeni!! ndo maana mambo mengine huruhusiwi kufanya ukiwa na umri mdogo, mfano urais you have to be 41
  8. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    How the hell did these non-rizikiz get into our subject?
  9. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    If you dindt happen to kuna stage ya makuzi umeruka bro, and for sure uta -supp. tu!
  10. N

    Wanaume: Hivi kwanini hatuwasifii wake zetu?

    Let others do what you don't!
Back
Top Bottom