Tupo tabora kwamba Zzk kamfunika EL ni uongo.sijajua kamfunika kwa namna gani.maana zaidi ya kuona magari yenye bendera za ACT yakipita mtaani na kuona gari ikitangaza kuwa kesho yeye na viongozi wenzie wakuu watafanya mkutano.Hakuna cha zaidi
Kila jambo hufanyika kwa strategy
Udini unaosemwa kuwepo ndani ya UKAWA hata ndani ya CCM upo.Cha kujiuliza wabunge wa ccm zanzibar % ngapi waislam ? Mbona hamkuchagua wakristo wakasimame kwenye majimbo hayo? Pia ukabila na udini hauangaliwi ktk jimbo mojamoja bali kama taasisi ni bunge zima...
Katika kila imani or madhehebu maovu yapo.Ukienda kwa waislamu ndani ya baadhi ya madrasa kuna ubakaji na makanisani vilevile sio katoliki peke yake.
Hivyo kanisa ni sawa na nchi ambamo kuna waovu na watu wasafi.Pia kwa mazingira ya sasa dini imekuwa kama biashara people need market share from...
Ni kweli maneno ya mzee malecela hayako objective maana angetoa sifa na mapungufu ya kila aliyetia nia ili tujue nani kazidi kwa mapungufu.But to much BIAS
Hizo bado hawajaita inaonyesha wanatatizo la budget maana nipo karibu na ofisi ya Sumatra mkoa fulani hadi leo Mhasibu hayupo na nafasi ilitangazwa ktk mkoa huo.It means bado hawajaajiri.Let us keep on waiting
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.