Nakutakieni kila la kheri maadam UKAWA ndio chombo mlichokiamini endeleeni na kusubiri wakati muafaka! nasikia January kafunga kazi huko Ruvuma haijawahi tokea....mimi nadhani ni jambo zuri Zitto kuifunika CCM.
..huu ni wakati ambao vyombo vya habari na watu wote wamejielekeza kuangalia nini CCM wanafanya.
..sasa kama ktk mazingira hayo Zitto ameweza kuwafunika basi ni jambo jema sana kwa ACT.
..CDM nao walikuwa active majuzi kwa operation zao za uhamasishaji walizokuwa wakiendesha nchi nzima.
..It wont take long kabla wananchi hawajazoea hizi kampeni za CCM na kuziona ni kitu cha kawaida, then huo ndiyo utakuwa wakati muafaka kwa CDM kuvamia tena huku mitaani.
..Kwenye siasa TIMING ni kitu muhimu sana.
Nakutakieni kila la kheri maadam UKAWA ndio chombo mlichokiamini endeleeni na kusubiri wakati muafaka! nasikia January kafunga kazi huko Ruvuma haijawahi tokea..
Nakutakieni kila la kheri maadam UKAWA ndio chombo mlichokiamini endeleeni na kusubiri wakati muafaka! nasikia January kafunga kazi huko Ruvuma haijawahi tokea..
Alaa sasa ikiwa mmeshanipachika uanachama mnataka niseme nini? yaani nikatae mtasema, nikubali mtasema! wabongo bana!Hivi wewe upo ACT (one man show) Hakuna zitto hakuna hamasa! au CCM? Maana yake wakati mwigine unatia aibu!
Alaa sasa ikiwa mmeshanipachika uanachama mnataka niseme nini? yaani nikatae mtasema, nikubali mtasema! wabongo bana!
Kumpenda Zitto kwani yeye mwanamke? nimeshasema hapa kwamba maamuzi yalofanyika kumfukuza Zitto, Kitila na Mwigamba hayakuwa ya busara na viongozi wako wanajua msimamo wangu. Kuanzishwa kwa ACT kunatokana na makosa hayo na hivyo CDM kujiunga na UKAWA ama niseme CUF kupinga Mapinduzi ya Znz pamoja na Muungano wetu ni mambo yalonipeleka mbali zaidi na mrengo wa Chadema.Huwa naona unamtetea sana Zitto na Kuipamba ACT. Kwa jinsi ninavyokufaham huko ni kujidhalilisha. Kwa hiyo wewe unaipenda ACTau unampenda Zitto? Siku hayupo (Mungu epushia mbali bado )
Niko ndani ya mji wa tabora,nimeshuhudia ushawishi wa mwanasiasa maarufu sana hapa tanzania ndani ya mji wa tabora ndugu zitto zuberi kabwe,hapa mjini tabora bendera za act wazalendo chama ambacho zitto anakiongoza zimetapakaa mji mzima na vijiwe vyote ndani ya tabora ni mijadala kuhusu tukio la kesho kuzindua azimio la tabora,vijana na akina mama wanaonekana kuvutiwa na siasa anazofanya kijana machachali Zitto kabwe,,
Baadhi ya viongozi wa ACT wanaonekana mitaani wakiuza kadi za chama hiki kwa hamasa kubwa sana,hata lowassa alipofika hapa kutafuta wadhamini hakupata mapokeo kama haya aliyoyapata ndugi zitto kabwe.
Kesho jioni kutafanyika mkutano mkubwa wa hadhara wa kuzindua azimio la tabora kitu ambacho kinasubiriwa kwa hamu sana na wananchi wa tabora,hongera mdugu Zitto Kabwe
Kuna watu hawataki kusikia ukweli kuhusu zitto,hasa chadema,ila zitto ni zaidi ya umjuavyo,ni mwanasiasa makini na anayejiamini,tunaanza nziara kesho,mnyika tangulia kama kawaida yako
Hivi zoezi la viongozi wa Act kutangaza mali zao liliingia wapi? Ndio tutaweza kupima kama hilo azimio Lina maana ama ni ujinga tu......Mali za Mwigamba , Mtemelwa , Kitila, Msando , Mgwira ........
Tupo tabora kwamba Zzk kamfunika EL ni uongo.sijajua kamfunika kwa namna gani.maana zaidi ya kuona magari yenye bendera za ACT yakipita mtaani na kuona gari ikitangaza kuwa kesho yeye na viongozi wenzie wakuu watafanya mkutano.Hakuna cha zaidi