Zitto Kabwe awa gumzo Tabora, amfunika Lowassa

Zitto Kabwe awa gumzo Tabora, amfunika Lowassa

Maajabu kama sisimizi kawa mkubwa kuliko tembo.
 
..mimi nadhani ni jambo zuri Zitto kuifunika CCM.

..huu ni wakati ambao vyombo vya habari na watu wote wamejielekeza kuangalia nini CCM wanafanya.

..sasa kama ktk mazingira hayo Zitto ameweza kuwafunika basi ni jambo jema sana kwa ACT.

..CDM nao walikuwa active majuzi kwa operation zao za uhamasishaji walizokuwa wakiendesha nchi nzima.

..It wont take long kabla wananchi hawajazoea hizi kampeni za CCM na kuziona ni kitu cha kawaida, then huo ndiyo utakuwa wakati muafaka kwa CDM kuvamia tena huku mitaani.

..Kwenye siasa TIMING ni kitu muhimu sana.
Nakutakieni kila la kheri maadam UKAWA ndio chombo mlichokiamini endeleeni na kusubiri wakati muafaka! nasikia January kafunga kazi huko Ruvuma haijawahi tokea..
 
Nakutakieni kila la kheri maadam UKAWA ndio chombo mlichokiamini endeleeni na kusubiri wakati muafaka! nasikia January kafunga kazi huko Ruvuma haijawahi tokea..

..Inshaalah.

..Tutavuka kwa rehma za MWENYEZI MUNGU.

..nadhani January atawapa changamoto kubwa sana CCM na atafika mbali.

..January is a skilled campaigner na vitu anavyofanya hakuna mwana-CCM ana ujuzi navyo. yaani wanaona kama Hollywood vile kwa hiyo lazima wapagawe.
 
Nakutakieni kila la kheri maadam UKAWA ndio chombo mlichokiamini endeleeni na kusubiri wakati muafaka! nasikia January kafunga kazi huko Ruvuma haijawahi tokea..


Hivi wewe upo ACT (one man show) Hakuna zitto hakuna hamasa! au CCM? Maana yake wakati mwigine unatia aibu!
 
kesho azimio la tabora ukifatia na mkutano wa hazara tabora imesema yes nani wa kupinga?
zito ni mwana siasa ninaemkubali
 
Hivi wewe upo ACT (one man show) Hakuna zitto hakuna hamasa! au CCM? Maana yake wakati mwigine unatia aibu!
Alaa sasa ikiwa mmeshanipachika uanachama mnataka niseme nini? yaani nikatae mtasema, nikubali mtasema! wabongo bana!
 
Uongo mtupu, niko Tabora hapa, hakuna cha Zitto wala nini. In fact Zitto anafanya mkutano kesho, sasa ameifunikaje CCM? Naomba modes mwangalie waongo kama hawa humu JF.
 
Alaa sasa ikiwa mmeshanipachika uanachama mnataka niseme nini? yaani nikatae mtasema, nikubali mtasema! wabongo bana!

Huwa naona unamtetea sana Zitto na Kuipamba ACT. Kwa jinsi ninavyokufaham huko ni kujidhalilisha. Kwa hiyo wewe unaipenda ACTau unampenda Zitto? Siku hayupo (Mungu epushia mbali bado )
 
Tupo tabora kwamba Zzk kamfunika EL ni uongo.sijajua kamfunika kwa namna gani.maana zaidi ya kuona magari yenye bendera za ACT yakipita mtaani na kuona gari ikitangaza kuwa kesho yeye na viongozi wenzie wakuu watafanya mkutano.Hakuna cha zaidi
 
Huwa naona unamtetea sana Zitto na Kuipamba ACT. Kwa jinsi ninavyokufaham huko ni kujidhalilisha. Kwa hiyo wewe unaipenda ACTau unampenda Zitto? Siku hayupo (Mungu epushia mbali bado )
Kumpenda Zitto kwani yeye mwanamke? nimeshasema hapa kwamba maamuzi yalofanyika kumfukuza Zitto, Kitila na Mwigamba hayakuwa ya busara na viongozi wako wanajua msimamo wangu. Kuanzishwa kwa ACT kunatokana na makosa hayo na hivyo CDM kujiunga na UKAWA ama niseme CUF kupinga Mapinduzi ya Znz pamoja na Muungano wetu ni mambo yalonipeleka mbali zaidi na mrengo wa Chadema.

Mimi ni MJAMAA, muumini wa Umoja wa waafirka na Mapinduzi ya Zanzibar kuwa muhimu kutoka utawala wa Sultan na ACT inawakilisha mawazo yangu hivyo sina budi kuwatetea kila wanapojitangaza. Sitojali mule yumo Zitto au Mbowe maana mwanzo mlitwambia Chadema ni mrengo wa kati Kushoto, mara wakageuka na kuwa kati Kulia wapinzani wa Muungano!. Mkuu sifuati mtu yeyote ila naamini katika Ujamaa wetu (UMOJA wetu) kama ndio njia pekee ya kuwakomboa Watanzania - Umenipata?
 
Niko ndani ya mji wa tabora,nimeshuhudia ushawishi wa mwanasiasa maarufu sana hapa tanzania ndani ya mji wa tabora ndugu zitto zuberi kabwe,hapa mjini tabora bendera za act wazalendo chama ambacho zitto anakiongoza zimetapakaa mji mzima na vijiwe vyote ndani ya tabora ni mijadala kuhusu tukio la kesho kuzindua azimio la tabora,vijana na akina mama wanaonekana kuvutiwa na siasa anazofanya kijana machachali Zitto kabwe,,

Baadhi ya viongozi wa ACT wanaonekana mitaani wakiuza kadi za chama hiki kwa hamasa kubwa sana,hata lowassa alipofika hapa kutafuta wadhamini hakupata mapokeo kama haya aliyoyapata ndugi zitto kabwe.

Kesho jioni kutafanyika mkutano mkubwa wa hadhara wa kuzindua azimio la tabora kitu ambacho kinasubiriwa kwa hamu sana na wananchi wa tabora,hongera mdugu Zitto Kabwe

Acha kupotosha watu tumeshuhudia mapokeo ya Lowasa amefunika
 
Hivi zoezi la viongozi wa Act kutangaza mali zao liliingia wapi? Ndio tutaweza kupima kama hilo azimio Lina maana ama ni ujinga tu......Mali za Mwigamba , Mtemelwa , Kitila, Msando , Mgwira ........

Aya sasa umeanza akikaa kimya taab akiamza shughuli tabu sasa niwaeleweje
 
Tupo tabora kwamba Zzk kamfunika EL ni uongo.sijajua kamfunika kwa namna gani.maana zaidi ya kuona magari yenye bendera za ACT yakipita mtaani na kuona gari ikitangaza kuwa kesho yeye na viongozi wenzie wakuu watafanya mkutano.Hakuna cha zaidi

Sasa situtegemea majibu tofauti na yako ,hata Farao alibisha sana kuhusu kuwepo kwa mungu mpaka mauti yalivyomfika ndio alisalim amri
 
Lazima wafurike si wanashangaa kwa kuwa wakati yuda anamsaliti yesu hawakuwepo wamesoma tu vitabuni sasa wanashangaa kusikia kuna msaliti anaitwa zzk hawaamini hadi wamuone ili wajue yukoje maana nae ataingia vitabuni kama msaliti baada ya yuda
 
Back
Top Bottom