Tetesi zinazozunguka ni kuwa Chadema imepata nguvu sana Manyoni mashariki ambalo hilo jimbo lipo chini ya Mh Chiligati. Ingawa mh Chiligati hajaweka wazi dhamira yake ya kugombea, nguvu ya siasa inaegemea CHADEMA. Wasiwasi uliopo ni kama CHADEMA inaweza vunja ngome ya CCM Manyoni mashariki kwa mgombea wao wanayemuweka.