FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Papa Benedict alikuwa ni Papa wa kwanza kuwachia ngazi baada ya takriban miaka 600.
Kabla ya kuwachia kwake ngazi kuna mambo muhimu na ya aibu kubwa sana yalifichuliwa pale Vatikan na msaidizi wa Papa wa ndani (Butler) Paolo Gabriele ambae aliyavujisha ili ulimwengu uelewe madudu yaliyopo ndani ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatikano ambayo huyo msaidizi wa Papaalisema kaamuwa kuvujisha kwa kuwa alikuwa "hafurahishwi nayo".
Muda mfupi baada ya Paolo Gabriele kuvujisha siri hizo na baada ya kujaribiwa kufichwa fichwa na Paolo kuwekwa ndani kwa miezi mitatu kufunika kombe mwanaharamu apite, wakajuwa ndiyo yameisha.
Hamadi! kukazuka kashfa lingine kubwa kuliko alilovujisha Gabriele nalo lilitokana na kuvujishwa ripotu ya makadinali ya ndani ya Vatikan, ripoti ya kurasa 300 iliyokuwa ni siri kubwa sana, ikavujishwa kwenye gazeti mojawapo la Italia na kuanza kuoneshwa vipande vya ripoti kwa ulimwengu, vipande hivyo vilikuwa na uozo kila namna wa kuanzia ushoga mpaka jinsi wakuu wa Kanisa wanavyolawitiana wenyewe kwa wenyewe na kulawiti watoto na kujihusisha na Umalaya wa kiume na wa kike. Ukaonesha jinsi Kanisa linavyojihusisha na kusafisha fedha haramu za madawa ya kulevya na mengi mengineyo.
Hayo ndiyo yaliyomfanya Papa Benedict kuwachia ngazi.
Huyu Papa wa sasa kuwachia kwake ngazi wala sintoona ajabu, kwani hayo yaliyomuondoa Benedict aliyarithi na yalikuwa "hayajazimwa" wala Kanisa halijachukuwa hatu za kujirekebisha, makadinali mashoga wameendelea kuwepo Vatikano na umalaya wa kiume na wa kike kwa makadinali umeendelea kuwepo na benki ya vatikano ilijihusisha na fedha haramu ipo na uongoozi ni ulele.
Isitoshe, hata alipoulizwa huyu Papa wa sasa kuhusu ushoga, akajibu "kwani mimi ni nani?" hata nikemee ushoga!
Utajaza mwenyewe.
Kabla ya kuwachia kwake ngazi kuna mambo muhimu na ya aibu kubwa sana yalifichuliwa pale Vatikan na msaidizi wa Papa wa ndani (Butler) Paolo Gabriele ambae aliyavujisha ili ulimwengu uelewe madudu yaliyopo ndani ya Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Vatikano ambayo huyo msaidizi wa Papaalisema kaamuwa kuvujisha kwa kuwa alikuwa "hafurahishwi nayo".
Muda mfupi baada ya Paolo Gabriele kuvujisha siri hizo na baada ya kujaribiwa kufichwa fichwa na Paolo kuwekwa ndani kwa miezi mitatu kufunika kombe mwanaharamu apite, wakajuwa ndiyo yameisha.
Hamadi! kukazuka kashfa lingine kubwa kuliko alilovujisha Gabriele nalo lilitokana na kuvujishwa ripotu ya makadinali ya ndani ya Vatikan, ripoti ya kurasa 300 iliyokuwa ni siri kubwa sana, ikavujishwa kwenye gazeti mojawapo la Italia na kuanza kuoneshwa vipande vya ripoti kwa ulimwengu, vipande hivyo vilikuwa na uozo kila namna wa kuanzia ushoga mpaka jinsi wakuu wa Kanisa wanavyolawitiana wenyewe kwa wenyewe na kulawiti watoto na kujihusisha na Umalaya wa kiume na wa kike. Ukaonesha jinsi Kanisa linavyojihusisha na kusafisha fedha haramu za madawa ya kulevya na mengi mengineyo.
Hayo ndiyo yaliyomfanya Papa Benedict kuwachia ngazi.
Huyu Papa wa sasa kuwachia kwake ngazi wala sintoona ajabu, kwani hayo yaliyomuondoa Benedict aliyarithi na yalikuwa "hayajazimwa" wala Kanisa halijachukuwa hatu za kujirekebisha, makadinali mashoga wameendelea kuwepo Vatikano na umalaya wa kiume na wa kike kwa makadinali umeendelea kuwepo na benki ya vatikano ilijihusisha na fedha haramu ipo na uongoozi ni ulele.
Isitoshe, hata alipoulizwa huyu Papa wa sasa kuhusu ushoga, akajibu "kwani mimi ni nani?" hata nikemee ushoga!
Utajaza mwenyewe.