Recent content by Njiiletia Mshimbika

  1. Njiiletia Mshimbika

    Makapuku Forum

    wanazingua,lakini ni kwanini inatokea kwenye namba mpya tu?
  2. Njiiletia Mshimbika

    Makapuku Forum

    habari zenu makapuku...hawa watuwamekuwa changamoto nilinunua line ya halotel nikatumiwa ujumbe huo hapo chini nikaiweka pembeni nikatafuta line ya mtandao mwingine na sasa kanitumia tena ujumbe ambao unasema hivi +255623271817 Content: Mjukuu Wangu Maweni haujambo ni mimi babu yako...
  3. Njiiletia Mshimbika

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mtu Mzito kuna siku nimeota napigana na viumbe vya ajabu huku mvua inanyesha ila niliyapiga sana na pia nikakutana na jamaa mmoja ninayemfahamu nikaharibu vitu alivyokuwa navyo na pia katka ndoto hiyo kuna sura za ndgu zangu fulani niliziona.kuna nyingine nilikuwa natoka naenda kwenye mihangaiko...
  4. Njiiletia Mshimbika

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mtu Mzito je ndoto za kunyeshewa mvua zina maana gani?
  5. Njiiletia Mshimbika

    NACTE yatoa majina ya waliopata nafasi ya kujiunga na vyuo ngazi ya cheti na stashahada 2016/2017

    hivi wadau mining engineering na telecommuniation ni ipi inalipa yaan ukishahitimu hautasota sana mtaani?
  6. Njiiletia Mshimbika

    NACTE yatoa majina ya waliopata nafasi ya kujiunga na vyuo ngazi ya cheti na stashahada 2016/2017

    mm nimeona kuna nduugu yangu kachaguliwa mbeya university telecommunication
  7. Njiiletia Mshimbika

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    somo limeniingia mambo magumu sana nimektana nayo na huwezi amini hata chuo nilisitisha hata kurudi imekuwa ngumu.mambo tyt bro,ndg ni wabaya wachache sana wana nia nzuri
  8. Njiiletia Mshimbika

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    ni kweli kwa sababu nikiunganisha dot napata kitu ambacho nina mashaka nacho sana
  9. Njiiletia Mshimbika

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    duuh;ni tatizo sasa kuliko kutibiwa wakaongeza zaidi
  10. Njiiletia Mshimbika

    Nawaonea wivu walionunua hisa za DSE

    Wakuu nami naomba kuelimishwa kuhusu namna ya kuchanganua hesabu za hisa ili niweze kuzifanyia kazi.
  11. Njiiletia Mshimbika

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mkuu Mtu Mzito nina swali/shauku ya kujua ukweli kuhusu jambo hili, niliwahi kupata matatizo nikapelekwa kwa mtaalam mmoja ila tiba yake sikuielewa yaan alinikata kucha za mikono na miguu,nywele za kichwani,makwapani na mavuzi.Akachukua udongo wa nyayo na maeneo mbalimbali ya mwili kupitia...
Back
Top Bottom