Recent content by njau_felister

  1. N

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Dr mm Nina ndugu anaishi na vvu km miaka 7 sasa hanywi dawa za kurefusha maisha na afya yke co mbaya lkn ameanza kupata majipu Mara kwa Mara tumsaidieje? Nae hataki kunywa dawa za kurefusha maisha?msaada plz
  2. N

    Sakata la Kafulila na wenzake CHADEMA

    Uongo mtupu!mnazusha sn mnatuharibia kg yetu
  3. N

    Fursa jijini Mombasa

    Naomba kujua bei za viatu vya kimasai mombasa
  4. N

    Kinana yupo Moshi Mjini kwa ziara ya Kichama

    Hahaaaaan nilikuwa Cjaona hp cha mtoto ht mikutano ya bavicha ni nyomi huu ni usanii,kwenye ukweli semeni.
  5. N

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Msaada wadau mm Nina kuku wa kienyeji lkn kuna kuku anataga anakula mayai tatizo ni nn?na nimpatie nn.
  6. N

    ACT Wazalendo yapata viongozi Kitaifa, Anastazia Mghwira awa Mwenyekiti wa kwanza Kitaifa

    We bavicha ni kitu kingine hapana chezea! Act,huruma zito!
  7. N

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    Ht itangazweje hilo jina lenyewe ni shidaaaaa act?mm naona wanajisumbua huyo zito kabugi men,
  8. N

    Zitto Kabwe akiomba kura nafasi ya Uongozi wa Chama ACT

    Hahahaaaa rackspider umenikumbusha mbali zito amejiua kisiasa namkumbuka mzee wa kiraracha alivyokuwa star mwisho wke Leo analia na jimbo la vunjo na hana matumaini.zito imekula kwake sikio halizidi kichwa
  9. N

    Smartphone for sale

    Weka pic bac
Back
Top Bottom