Dr mm Nina ndugu anaishi na vvu km miaka 7 sasa hanywi dawa za kurefusha maisha na afya yke co mbaya lkn ameanza kupata majipu Mara kwa Mara tumsaidieje? Nae hataki kunywa dawa za kurefusha maisha?msaada plz
Hahahaaaa rackspider umenikumbusha mbali zito amejiua kisiasa namkumbuka mzee wa kiraracha alivyokuwa star mwisho wke Leo analia na jimbo la vunjo na hana matumaini.zito imekula kwake sikio halizidi kichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.