Habari wanna jukwaa.
Kuna kitu naomba nikizungumzie, inawezekana kilishaandikwa humu.
Napenda kuvilalamikia Sana vyombo vya habari hasa redio na TV, sio zote. Asilimia kubwa ya vipindi ni promotion ya michezo na umbea, yaani vipindi havizingatii muda wa kazi Wala kipi kinafaa kwenye jamii na...
Wewe bado una akili za chekechea miaka 36 unalalamika ungekuwa huna baba na mama ungeishije?
Unapaswa utambue kuwa wewe kwa Sasa maada baba yu hai huna haki ya kurithi chochote. Unaitwa mrithi na kuwa na haki ya madai yoyote ikiwa mzazi wako amekufa period.
Hali zenu wana jukwaa,
Kwa Muda mrefu nimekuwa najiuliza na kuuliza watu mbali mbali na hata kufanya tafiti fulani,lakini bado sijaelewa.
Kuna mapacha wanaofanana kila kitu kiasi hata wazazi wanashindwa kuwatofautisha mpaka DNA Ni moja lakini alama zao za vidole haijatokea zifanane.
Je, Kuna...
Mi nadhani mfumo wetu was elimu ndio unatutengeneza hivyo,kingereza chetu Ni Cha kusoma sio Cha kuongea.Mkazo mkubwa kwa wanafunzi ni kufaulu mtihani. Hata hizi za English medium ukienda shule ukasikia kingereza Cha walimu was kitanzania unabaki unajiuliza maswali mengi.
Lazima tukiri tuna tatizo.
Acha ujuha, angekubaliana na ushauri was kutoa,ungeyasema Hayo.
Majuto ni mjukuu pambana na Hali yako.Ulipanda ukataka kung'oa mwenzio kakubali kupalilia akivuna mwache ale na aliyepandishwa naye shida.
Kazi KWELI KWELI,ninavoelewa Mimi Mungu Ni wa wote na janga Ni la dunia nzima,huwezi omba Mungu kwa ajili ya taifa moja so KWELI,hayo Ni maombi yenye ubinafsi na Mungu Hana upendeleo. Ingekuwa tumepigwa sie peke yetu sawa. Hapo mtaomba mpaka mpasuke Koo,tusidanganyane.
Maisha Yana Siri nyingi,kikubwa usikate tamaa pambana,maana uko mlango mwingine Ni kazi yako kuutafuta.
Hongera Sana umelipia school fees.Umeshahitimu course muhimu Sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.