Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,107
- 18,323
Mwandishi yeyote wa habari jambo kubwa analo takiwa kulijua ni lugha na sio moja.
Sasa Tanzania kuna tatizo gani kwa waandishi wengi wa habari kuto jua kingereza?
Alikuja Rais Obama, wakashindwa kuuliza maswali kwa sababu ya ung'eng'e.
Tumeona pia baadhi ya wageni wakija waandishi wa habari wananikanyaga balaa utadhani wote waliishia darasa la pili?
Tatizo wapi? Mfumo wa elimu au nini?
Wizara ya habari na vyuo hili linawahusu.
Sasa Tanzania kuna tatizo gani kwa waandishi wengi wa habari kuto jua kingereza?
Alikuja Rais Obama, wakashindwa kuuliza maswali kwa sababu ya ung'eng'e.
Tumeona pia baadhi ya wageni wakija waandishi wa habari wananikanyaga balaa utadhani wote waliishia darasa la pili?
Tatizo wapi? Mfumo wa elimu au nini?
Wizara ya habari na vyuo hili linawahusu.