Recent content by NITIKE NDOSI

  1. NITIKE NDOSI

    Nasumbuliwa na clonic aestroarthretiis

    Hizo hospitaly ziko wapi mkuu? Na gharama zake zipoje? Mi niko Morogogoro
  2. NITIKE NDOSI

    Nasumbuliwa na clonic aestroarthretiis

    Hizo hospitaly ziko wapi mkuu? Na gharama zake zipoje? Mi niko Morogogoro
  3. NITIKE NDOSI

    Nasumbuliwa na clonic aestroarthretiis

    Jamani naombà msaada wa tiba ya huu ugonjwa kwani maumivi take niakali hata antipain zimenigomea. Huwa inamisumbua kwemye femar pamoja na paja na goti . kila Sawa nikitumia maumivu uayakati na uvimbe pia. Hospitali walisema Nina tatizo la Clinic asteoarthritis
  4. NITIKE NDOSI

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Tax laws zinakuwa amended time to time according to the need. Na tukubari kuwa pensions huwa ni tax free gain kwa Sheria za kodi za sasa. Nafikiri tra apa wameangalia tu ni namna gani ya kuongeza Pato la taifa ambalo ndo hitaji mama la kodi!! Lakini wamesahau kuwa mishahara haitoshi,mtu...
  5. NITIKE NDOSI

    Zitto Kabwe: Sheria mpya ya mifuko ya hifadhi ya jamii ukilipwa mafao unakatwa kodi

    Sheria ya Kodi ya sasa ina exempt michango ya mifuko ya jamii Check hiyo salary slip utapata jibu
  6. NITIKE NDOSI

    Natafuta wa kunioa

    Vyuma vimekaza kotekote dada! Hata usiangaike na ndoa!!?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Haya mapya tena......
  8. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Alitaka kukupa ndogo! Au sijaelewa huyo boss wa kike ama wa kiume!!?[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]
  9. NITIKE NDOSI

    Kuna lugha tano za mapenzi, unaijua ya mpenzi wako?

    Wanawake wa Karne hii wanaelewa lugha moja tu MONEY We mpe pesa tu atakupenda kinoma! ........... Mark my word
  10. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Piga moyo konde!! Sio lazima ukutane nayo! Lkn kwa kiasi kikubwa haya hutokea . Na sio wakati wa kuomba kazi tu! Hapa tunazungumzia shida mbalimbali ambazo pengine hata ww umekutana nazo,alafu mtu unaetegemea akupe msaada anataka atumie mwanya huo kupata kwichikwichi!!!
  11. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Wanaona aibu lkn tunaona yanayofanyika 1 field attachment 2 kutafuta ajira 3 vyuoni ( hapa nina ushahidi,kuna dada ali sup, lkn marks zilirekebishwa juu kwa juu bila ata ya Ku attend supplementary exam[emoji23] [emoji23] 4 kupanda vyeo maofisini(hasa private sector) 5 Au hata mkwamo wa aina...
  12. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Nyie ndo mnachangia sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  13. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Umenena vyema mkuu.... Ubinadamu umetoweka kwa sasa! Ukienda vyuoni unatamani kulia jinsi mabinti wanavyotumika na walimu ili mradi wapewe maksi nzuri!
  14. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Mkuu mbona umeanika kila kitu? Una uhakika hayupo umu???[emoji23] [emoji23] [emoji23]
  15. NITIKE NDOSI

    Umewahi kupewa msaada kwa sharti la kutoa penzi?

    Pole! Dah! Imeniuma sana hii .........
Back
Top Bottom