Mkuu mimi nilikuwa naangalia hicho kipindi ikafika kutaja takwimu,hapo ndo kanishangaza waziri mzima ila nikajua muda huo watoto wa shule watakuwa wameshalala mana wangekopi makosa yake,hakika ccm ni kituko asee
Mkuu ninataka kuanza biashara ni gradaute engineer na maisha magumu sana mtaani nina laki moja mkononi ebu nishauri mkuu nifanyeje na hyo laki moja ili maisha yasonge,maana nashindwa kuamua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.