Akili zingine za ajabu kweli ! Kama za padri mwizi. Hivi ni kweli kuwa hujui kuwa mnao watukana hawa makamanda ni nyie CHADEMA,mnaojua fika kuwa wanawakimbiza? Umeona mikutano yao mikoani?Acha uzezeta,tumia ubongo kuwaza na si ....buri!!!!
QUOTE=Umslpogaaz;4251091]Maoni karibu yote...
Tuelezeni kwanza NANI ALITAKA KUMUUA DR. SLAA NA KWANINI SLAA HATAKI KUTOA USHAHIDI KAMA TUHUMA HIZI NI ZA KWELI.? SLAA HAJAWA RAIS ANAIBA WAKE ZA WATU HIVI AKIWA JE SI ATATIA BARABARANI? NA KISUKARI KILE LAZIMA ANAKUNYWA VIAGRA HAKA KAZEE
Anguko la CCM Arumeru Mashariki na Mgombea wake Sioi Sumari aka Mkwe wa EL ni teke la mwisho la fisadi Edward N. Lowassa. Kwasasa sioni muujiza wowote wa kumnusuri EL hasa baa ya kulazimisha kupanda jukwaani kumuombea mkwewe kura! Pesa alizotumia kushinikiza na kununua ushindi, HAKIKA...
Edward Ngoyai Lowassa,amepata aibu ya kufungia Mwaka pamoja nguvu yote ilotumika kumuandalia mkutano jamaa kapata watu kiduchu kuliko hata mkutano wa AFP!!! Jamaa anatia huruma sana san!!!a n
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.