Nisaidieni pamoja na kuitwa majina yote ya ajabu na wasioipenda CCM, lakini bado inaonyesha uhai wa ajabu sana, angalia picha hizi za Mpanda na Sumbawanga. SWALI LANGU, UHAI HUU CCM INATOA WAPI?
Marehemu hata kama alikua hashiriki misiba ya wengine akifa anapata waombolezaji ndo ccm hio na waombolezaji wake ambao wamefata mpunga na mahala pa kulala siku hiyo
Thibitisha ni Tabora na si Mpanda tena jana huu mkutano. CCM ilifunika vibaya!!!!​michuzi kaziunganisha zingine hiyo ya chini nimkutano wa kampeni 2010 tabora
mimi mwenyewe nimefurahi sana maana lori langu limepata tenda ya kusomba watu wilaya yote lakini hao wote walipewa tshirts week moja kabla ya mkutano
Imeunganishwa hiyo bana..
Hata kama ningekuwa mimi nipo vijijini nina dhiki jana sijala chakula,nimesikia kuna usafiri wa bure kwenda kusalimia kijiji cha jirani na ubwabwa juu wallah ningetia timu tu.marehemu anazikwa tu.