Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Mh. EDWARD LOWASSA amemtaka Gavana wa Benki kuu kuelezea umma ni kwanini mfumuko wa bei haushuki.
Je alipokuwa serikalini alikuwa halioni hili? Au yeye sio sehemu ya chama kinachotawala na kupeleka mawazo yake kwenye vikao vya chama?
SOURCE: ITV DK 45
Je alipokuwa serikalini alikuwa halioni hili? Au yeye sio sehemu ya chama kinachotawala na kupeleka mawazo yake kwenye vikao vya chama?
SOURCE: ITV DK 45