From beginning Russia anajua the real enemy ni US kwenye kila jambo ambalo linaenda against Russia kunamkono wa American either directly or indirectly
So haishangazi hizi accusations against US the question is what Will be Russian response kwa American?
Kuna siku isio na jina utajichanganya TU Ndio utajua ni HARAMU au HALALI
UTII wa bendera ya nchi na wimbo wa Taifa unafundishwa kuanzia shule ya Msingi sasa sijui mwenzetu umesomea Kenya au ulaya
Na kuhusu vifungu usijali utatafutiwa pale ambapo taya ya juu na chini vikiwa havina uhusiano...
seriously walijuaje?
counterIntelligence ya US ipo mbali wameshikilia kila means ya mawasiliano ni ngumu kuwakwepa Ata ukitumia codes kuna watu wana uwezo mkubwa ku dicipher
ili uwakwepe usitumie teknolojia kabasi so wanajua mambo mengi kabla halijatokea Ata hapa kwetu Mala nyingi tu US...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.