Ume broke code za brotherhood
Dada wa mchizi ni Dada yako
Mama wa mchizi ni mama yako
Mke wa mchizi ni shemeji usilete mazoea na ujuaji
Ex wa mchizi ni ex wako pia usiwasiliane nae wala kuleta mazoea kwa namna yoyote Linda misingi
Deep down ulijua nn kitaenda kutokea but still u go ahead...
Haya mawazo ya kipumbavu ( sorry nimetumia maneno magumu) wangekuwa nayo wa kina Nyerere sijui Tanzania ingekua wapi
Kwa mawazo yako unazani siasa haikuhusu?
unazani wanaoenda kupiga kura ( uchaguzi mkuu) ni wanachama tu wa vyama vya siasa???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.