Haya mawazo ya kipumbavu ( sorry nimetumia maneno magumu) wangekuwa nayo wa kina Nyerere sijui Tanzania ingekua wapi
Kwa mawazo yako unazani siasa haikuhusu?
unazani wanaoenda kupiga kura ( uchaguzi mkuu) ni wanachama tu wa vyama vya siasa???
Dogo Hassan umeishia darasa la ngapi??
Maana reasoning yako, understanding yako, thinking capacity yako, analysis and evaluation yako kwenye haya mambo ni below mtoto wa standard seven
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.