Put in ilitakiwa afanye hiyo muda mrefu sana kama Israel anavyo fanya Lebanon na Gaza mkiamua kupigana hakuna cha sheria piga panapo uma hamna ucheka na kima
Hiyo miji inayo teketea vibaya Iko wapi tuoneshe na sisi maana kwenye main stream media zote ni Tehran inawaka na picha halisi zinaonekana ila upande wa pili akili mnemba ndio zimetawala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.