Kuweni na akili bhasi nyie magreat thinker mnaojifanya kila kitu mnajua ..
Eleweni masharti ya mwenye huyu mpangaji aliyekuwepo alielewa na akakubali mpaka Leo yupo na hajawi kuombwa mzigo na mwenye nyumba
Hayo ni masharti ya mtu kama hutaki unaacha
Chumba kiko mbezi mwisho kodi elfu sitini kwa mwezi kulipa kuanzia miezi sita..
Chumba kina choo ndani tiles chini pamoja na gypsum bila kusahau maji na geti kubwa.
Masharti ya chumba mpangaji awe ni binti asiye na Mme wala mtoto kwa upande wa njemba mtanisamehe sana..
Room za wapangaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.