Recent content by NIMITZ

  1. NIMITZ

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Endurance
  2. NIMITZ

    Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana mnapenda uzinzi kuliko pesa.
  3. NIMITZ

    Umeshawahi kusaidiwa nini na mganga ukaona kabisa mganga wako fundi?

    Huyo atakuwa alichanganya dawa badala ya kukupa ya kazi akakupa ya mvuto
  4. NIMITZ

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Hivi huo muda wa kuangalia dakika unapoanza mpaka unamaliza huwa mnaupata vipi? Au mnatembea na stopwatch wazee
  5. NIMITZ

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mzee hii ilitakiwa ukaushe ata usijibu kitu
  6. NIMITZ

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    Hidden roof huvuja sababu kwa sababu kuu tatu; 1. Wakati wa kutengeneza gutter haikuzibwa vizuri na kupigwa plasta kwenye kona za ukuta hivyo kusababisha maji kutuama na kuingia kwenye ukuta. 2. Mabomba ya kutolea maji ni finyu au yameziba au gutter hazina slope ya kutosha 3. Fundi bati...
  7. NIMITZ

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Choo cha public ku face sebule direct haijakaa poa. Hivi vitu vinahitaji privacy jombaa.
  8. NIMITZ

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Washing mashine unaweza weka hata jikoni ukai fix vizuri tu ikakaa. Cha msingi kama chumba cha dada au kaka wa kazi kikubwa weka meza ya kunyooshea nguo
  9. NIMITZ

    Ujenzi wa hidden roof na paa la kawaida

    Jenga kawaida tu maana shughuli ya kuweka gutter si mchezo. Zitaenda nondo na cement hapo mpaka utie akili. Hapo bado shughuli ya kupaua upate fundi mzuri.
  10. NIMITZ

    TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

    TRA ana haki ya kushikilia account yako na kuchukua pesa iwapo utashindwa kulipa kodi nahii ni baada ya majadiliano ya muda mrefu. Sababu lazima akuletee barua then ujitetee kisha atakupa assesment kama hajaridhika na utetezi au ushahidi wako. Na katika assesment lazima utoe 1/3 ya kodi ndio...
  11. NIMITZ

    TRA yafanya uonevu mkubwa, yapora milioni 700 kwenye akaunti binafsi za Diamond Platnumz

    So ndio akaamua kuimba “CHITAKI” kumbe hataki kulipa kodi.
  12. NIMITZ

    Jamani mjitahidi sana kutunza magari yenu

    Kaka umenena. Huwa tunasingizia barabara mbovu lakini barabara inahusiana vipi na kuharibika hasa vitu vinavyohusiana na umeme. Au engine? Shida ni service za magumashi na vifaa vya kuunga unga. Nimenunua gari used bongo ila sitakuja kurudia tena huo upuuzi.
  13. NIMITZ

    Fundisho la Utatu haliingii akilini kabisa, mnaoamini mmetoa wapi mbona Biblia iko wazi kabisa?

    Inategemea Allah unamuita katika kitu gani. Na pia jifunze kuwa Uislamu hauamini katika miujiza kama nyie. Tunaamini atakalotaka Mola ndio litakalotokea sio kulazimisha wewe unavyotaka. Keep Allah out of you nonsense.
  14. NIMITZ

    Itoshe kusema Ali Kiba ana msogo wa mawazo

    Kiba ni msanii mzuri sana ila kinachomsumbua ni ego. Anajisikia sana na kujiona amefika. Ameridhika na hapo alipo. Inanikumbusha kuna interview alifanya 50 cent akaulizwa nani mkali katika kundi lao la G-Unit, akasema Lloyd Banks. Akasema jamaa ni mkali kuliko hata yeye ila shida ni kuwa...
Back
Top Bottom