Recent content by Nimejifunza

  1. Nimejifunza

    Yanahtajika mayai ya kisasa

    Nami nahitaji mayai, nipo dar tandika, kuanzia tray 50 hadi 500, 0fa yangu ni tsh 5,500. 0719447204.
  2. Nimejifunza

    Wanaume wa Ukweli Hubeba Ujauzito!

    It is Awesome!! True True.
  3. Nimejifunza

    Dilemma!!!

    Yawezekana jamaa ana mtazamo tofauti kuhusiana na Tendo la Ndoa, kabla haujafanya maamuzi magumu mueleze kiu ya roho yako maana hicho ndicho kiunganishi cheni katika hiyo ndoa tarajiwa, kama ana misingi yange kajiwekea perhaps kutoshiriki tendo mpaka muwe katika ndoa aseme otherwise atajiweka...
  4. Nimejifunza

    Nimemuumiza....

    Pole sana Mkuu, Binadamu hakuna Mkamilifu, kikubwa elewa wapi ulipojikwaa ili kesho usije jikwaa tena, hakuna kitu nakichukia kama kumuumiza moyo mtu anayekupenda hasa kwa kum cheat, ila ndo yashatokea, Muombe Radhi, hoping atakuelewa na usirudie tena mkuu. Kila la kheri.
  5. Nimejifunza

    Yeye huwa analeta mwanaume nisipokuwepo!

    Hapo ni 50/50 ila umenena vzr mkuu.
  6. Nimejifunza

    Tricks

    Mueleze ukweli tu kwamba hauna nia nae tena, pengine yale mapenzi uliokuwa ukiyahisi kutoka kwake hayapo tena, kama kuna tatizo huenda akajirekebisha na mkarudisha mahusiano yenu tena na kama ndo ishashindikana ajue tu ukweli kuliko kumletea USUNGURA.
  7. Nimejifunza

    Jamani mapenzi hujui, pesa huna unang'ang'aniza ndoa loh!

    Daah, hapo kwenye simu ndo anapokosea, Mwanamke kwanza, afurahi na kuridhika hayo mengine baadae.
  8. Nimejifunza

    Nahitaji Mwanamke, ambaye ana mtoto japo mmoja itakuwa vizuri zaidi.

    Habari za Leo wana MMU, Mimi ni Mwanaume wa Kitz, nna miaka 27, elimu yangu ni ya chuo, sijapata bahati ya kukaa na kazi ya kuajiriwa muda mrefu, so nnakuwa najishughulisha na shughuli mchanganyiko maana nna ujuzi tofauti tofauti including Udereva wa Magari Makubwa. Mimi ni Mrefu (6.3Ft)...
Back
Top Bottom