Nimemuumiza....

Nimemuumiza....

maumivu ya kusalitiwa ni makubwa hasa kama mtu ulimwamini sana, mpe nafasi lakini pia ujiandae kwa uamuzi wowote atakaouchukua
 
Kwenu wadau..
Ki ukweli sijui hata nianzie wapi...ila nimekua na mpenzi wangu for almost 3years nw. ninampenda na kumheshimu sana. n since niwe nae sikuwahi kucheat but last week i cheated na akajua n nw she is mad at me....she hates me..bt i love her n i do regret kwa nilichofanya....ila tuu kitu kimoja am not ready to loose her.....na nimeomba msamaha moa than once. please...nisaidieni wadau nifanyeje ili anielewe n forgive me. coz i real lov her.....and am deeply sorry and regretfull.

Rudisha siku nyuma
 
Give her a tym afu umnunulie zawad nzur ya kumshusha hasra!si unajua siku hizi. Mwanamke apigwi ngumi au maneno!unampiga na li samsang galaxy na iphone??
 
Natamani siku nifumanie wallah my dream car ataninunulia
Give her a tym afu umnunulie zawad nzur ya kumshusha hasra!si unajua siku hizi. Mwanamke apigwi ngumi au maneno!unampiga na li samsang galaxy na iphone??
 
Give her a tym afu umnunulie zawad nzur ya kumshusha hasra!si unajua siku hizi. Mwanamke apigwi ngumi au maneno!unampiga na li samsang galaxy na iphone??

wanawake mnapenda kudanganywa sana
 
inasikitisha sana!! ndo maana tunaona bora tuzae watoto bila kuolewa!
 
Atarudi tu asikupe shaka huwa wanarudi tuuuu. Hawanaga pa kwenda kivileee. Mwanamke akipenda bwana kapenda tofauti kabisa na sisi.
 
Kwenu wadau..
Ki ukweli sijui hata nianzie wapi...ila nimekua na mpenzi wangu for almost 3years nw. ninampenda na kumheshimu sana. n since niwe nae sikuwahi kucheat but last week i cheated na akajua n nw she is mad at me....she hates me..bt i love her n i do regret kwa nilichofanya....ila tuu kitu kimoja am not ready to loose her.....na nimeomba msamaha moa than once. please...nisaidieni wadau nifanyeje ili anielewe n forgive me. coz i real lov her.....and am deeply sorry and regretfull.
Pole sana Mkuu, Binadamu hakuna Mkamilifu, kikubwa elewa wapi ulipojikwaa ili kesho usije jikwaa tena, hakuna kitu nakichukia kama kumuumiza moyo mtu anayekupenda hasa kwa kum cheat, ila ndo yashatokea, Muombe Radhi, hoping atakuelewa na usirudie tena mkuu. Kila la kheri.
 
Give her a tym afu umnunulie zawad nzur ya kumshusha hasra!si unajua siku hizi. Mwanamke apigwi ngumi au maneno!unampiga na li samsang galaxy na iphone??
Aiseeh!! Kumbe...
 
Atarudi tu asikupe shaka huwa wanarudi tuuuu. Hawanaga pa kwenda kivileee. Mwanamke akipenda bwana kapenda tofauti kabisa na sisi.

unajiamini mzee,hehe kuna namba hujakutana nazo lazma mwnyw ushtuke mbna huyu bnt is actn so cold na harudi,wanaume wenyew weng hv hakyanan ungeisoma namba kwangu
 
Huyu uliyekamatwa nae ndie anakufaa, achana na huyo miaka 3! kipya kinyemi..ebooo!
 
Back
Top Bottom