barbieantonate
Member
- Aug 18, 2013
- 66
- 10
Dats a ril man
Nimeipenda sana I wish one day mume wangu aje kuniambia
maneno kama hayo unapata faraja sana
^^
Nimeipenda! Napataga burudani fulani ivi kumuona mwanamke ana ujauzito!
Ntamwimbia mashairi matamu aki.. (we Himidini unaongea nini?)
^^
"I AM PREGNANT" she TOLD
her MAN... he SMILED and
KISSED her LIPS and
said"CORRECTION
MY LOVE we ARE pregnant. FOR that
CHILD in YOUR womb is HALF of ME
and HALF of YOU; and I
will NOT let YOU go THROUGH
the PREGNANCY alone... I may
NOT carry OUR child BUT i WILL
carry YOU and OUR child IN my
HEART and CARE. I WILL be THE best
FATHER to OUR child...
WE are PREGNANT!" Now
that's a REAL MAN.!
TRUE or FALSE?
Umenchekesha
Hadi tears lol! Haaaaaaaa so sweet of him!
Hayo utayasikia kwa mwanaume anayejitambua,kujiheshimu,kumheshimu na kumthamini mkewe.
Kina bin mimi ukimwambia tu ume conceive anaanza kufikiria kabint gani katafaa kum keep company wakati wewe unaburuza tumbo na kumiminika maziwa!!!
Sasa litoke toto lisiwe la kwako ndio utajua wew upo na im pregnant, kumbe umebeba ujauzito wa mwanamume mwenzako ahahahahha..
umeona enhe.....umesema kweli shoga angu mwanaume anaejiheshim na kujielewa
sometimes its not about money but mapenzi kama hayo...