Recent content by NILIJUA TU

  1. NILIJUA TU

    Nape Nnauye amuwakia aliyemuuliza juu ya posti yake ya Bombadier

    Kumbe kuwa mkweli na muwazi nchini Tanzania ni "kutokuwa sawa"..??
  2. NILIJUA TU

    Issue ya Lissu yaifikia Shirika la Kijasusi la kimataifa CIA

    Itafikia siku na nyie mtapigwa risasi.. Sijuhi na huo pia utakuwa ujinga..!!?? What goes around; comes around..! Quote me wrong till that time matures..!!
  3. NILIJUA TU

    Kama Nairobi wamesema wametoa risasi nane kwa Lissu, lengo la madaktari wa Dodoma kutoa tano ni nini?

    Usiumize kichwa... Jamaa angeelekezwa Muhimbili wala asingefika anga la Morogoro.. Rejea maagizo ya kuwashughulikia wanaopinga utawala wa mfalme...
  4. NILIJUA TU

    Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

    Mkuu weka bunduki chini kwanza ndipo ujenge hoja..
  5. NILIJUA TU

    Nyalandu azidi kumpigania Lissu, kuangalia uwezekano wa kupata rufaa ya matibabu Marekani

    Mkuu weka bunduki chini kwanza ndipo ujenge hoja..
  6. NILIJUA TU

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Maagizo kwa Supika wa Bunge: “Kwa wale watakaokuwa wanaropoka ropoka unaenda vizuri, tumia hiyo technique (mbinu) ya kuwafanya wasiropokee bungeni waropokee nje na kule ‘tutadeal’ (tutashughulika) nao vizuri. “Kwa sababu wanapokuwa ndani wanaweza kutukana chochote. Sasa immunity (kinga) yao...
  7. NILIJUA TU

    Kuzorota uchumi: Stone Block wafungasha virago!

    Mayalla ndo madhara ya kujaribu kunyoosha usichojua mapindo yake
  8. NILIJUA TU

    Rais Magufuli anatarajiwa kuwasili mkoani Arusha kesho kwa ziara ya siku tatu

    Jamani mlioko Nairobi plse plse imarisheni ulinzi.. Arusha na Nairobi si mbali..!!
  9. NILIJUA TU

    Ningekuwa Mtu Mwingine Ningesema Huu ni Wazimu!

    Sijawahi kuona mawazo ya kijinga na kinafiki kama ya kuzuia watu kushiriki kutoa damu.. Wanaosaidiwa ni wananchi wa Tanzania; dada zetu, kaka zetu, mama zetu, baba zetu, wajomba, shangazi, babu na bibi zetu.. Hivi hamna siku mtakuja kuwaomba wananchi wajitokeze ili kutoa damu kukidhi mahitaji ya...
  10. NILIJUA TU

    Swali: Je, inawezekana mlemavu ama ukilema wa kufanyiwa au wa kuzaliwa nao,Tanzania akagombea nafasi ya juu akashinda?

    Sasa ndo nini hiki...?? Ndo lilikuwa lengo lenu...?? Ila MUNGU ana majibu yake...!! Ni suala la muda tu...
  11. NILIJUA TU

    UGANDA: Watanzania 13 wa familia ya Gregory Teu, wafariki katika ajali. Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi

    RIP marehemu wote.. Majeruhi MUNGU awape uponyaji; mpone haraka jamani.
  12. NILIJUA TU

    DK.Hongo Kahitila: Ningependa mpaka nafariki Mimi niwe namuona Magufuli madarakani

    Daaah... Mwambie huyo dakitari asome japo hii thread: Bloomberg: Tanzanian Leader's War for Taxes Puts Economy in Firing Line
  13. NILIJUA TU

    Nadharia hii nani kaipandikiza kwenye jamii?

    Ule mpango mkakati wa UPE kwenye elimu ndo karata ya CCM.. Schools, schools, schools everywhere..! Free education free of education..!! Na sasa wameidhinisha hakuna mtoto kufeli wala kurudia darasa...!!
  14. NILIJUA TU

    Mbunge wa Tarime John Heche kupeleka hoja binafsi muda wa Urais, Ubunge upunguzwe

    Tusikubali kutolewa kwenye hoja ya msingi kwa sasa.. "PRAY and RAISE MONEY FOR TUNDU LISSU"
  15. NILIJUA TU

    Muhimbili watoa Rai: Watanzania tuchangie damu

    Wanaoruhusiwa kutoa damu ni watakatifu wachache wenye mahaba na ufalme wa kondakta na dereva wake.. Nadhani wanaogopa damu nyingine zinaweza kuleta athari kwa kuwazindua wadanganyika..!!
Back
Top Bottom