elias maswe
Senior Member
- Jan 8, 2017
- 195
- 228
Acha siasa. Mara kadhaa serikali inasema imetuma watu kuchunguza sehemu mbali mbali kuangalia mienendo ya watu sehemu mbalimbali ikiwemo mahospitalini (usalama wa taifa ) una una uhakika gani hospital hawapo? Halafu Lissu maneno yake ya kweli na yanawachoma wasio penda haki na ndio maana amekuwa akikamatwa mara kwa mara. Huyo unaemsema si mwanasiasa kama Lissu na hata shambulio lake walilenga pesa na wakaondoka nazo tofauti na Lissu hawakuchukua hata Mia, Idadi ya risasi na sehemu alizopigwa Lissu ni tofauti kabisa na huyo mwingineMadaktari wa bongo waliookoa maishayake walisema wangeweza kumtibu (kama walivyofanya kwa Maj Gen Mstaafu). Lakini watu wakaweka taaluma pembeni, siasa mbele na kulazimisha aondolewe...
Haya sasa na huku mnataka kulazimisha atolewe...swali...safarihii ni kwa sababu za kiusalama au?