Auson Jasson
Member
- Aug 31, 2017
- 10
- 3
R. I. P
We deeply appreciate your expression of sympathy…
Katika ajili hii nimepoteza baba yangu mdogo kabisa na ndugu wengine wa karibu. It's so hard to find a word to say at times like this, Borny Njenga I will miss you, Ni mapema mno umetuacha. Umetufundisha maisha ni nini? Kwa wale wapitao na watumiao njia ya salasala (dar es salaam) baada ya ile minara ya simu, rami inapoishia, mbele kidogo kulikuwa na gereji ndogo. Umetusaidia sana katika huduma yako uliyokuwa ukitupatia pale, tutamkimbilia nani tena sasa hivi. Siwezi ongea zaidi nitaendelea wapa update hapa wandugu
Nyie ndo mmemuoa Mage eeeh? kwa kweli msiba ni mzito, Mungu awape faraja tuMsiba mzito sana huu, mtoto wa binamu yangu ameoa hapo nao walienda na mkewe wakarudi na ndege. Bila hivyo wangekuwa nao humo. Pole kwa majeruhi tunawaombea uponyaji. Marehemu, Mungu awape pumziko la milele Amina.
We deeply appreciate your expression of sympathy…
Katika ajili hii nimepoteza baba yangu mdogo kabisa na ndugu wengine wa karibu. It's so hard to find a word to say at times like this, Borny Njenga I will miss you, Ni mapema mno umetuacha. Umetufundisha maisha ni nini? Kwa wale wapitao na watumiao njia ya salasala (dar es salaam) baada ya ile minara ya simu, rami inapoishia, mbele kidogo kulikuwa na gereji ndogo. Umetusaidia sana katika huduma yako uliyokuwa ukitupatia pale, tutamkimbilia nani tena sasa hivi. Siwezi ongea zaidi nitaendelea wapa update hapa wandugu
Msiba mkubwa sana. Pole kwako na wanafamilia yoteMaskini,nilikuwa kwenye send off yao pale kiramuu hall;nimepoteza rafiki zangu wa karibu Vivian,big,Edwin,bony,eenh Mungu tupe nguvu katika kipindi hiki kigumu