Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
CIA? nitawatafutia wapi? Ha!ha!
SIjaongelea kuhusu CIA ,tukihitaji kufanya UCHUNGUZI basi usifanywe na SERIKALI wala taasisi zake,anatakiwa taasisi neutral,kama FBI au Scottyard mengine hayo mnayajua wenyewe.
Mnajijua kuwa mnahusika kwa 100% hamuwezi kuwatafuta pia.Tena mnajua msije mkajiaibisha mkajifanya mnafanya uchunguzi wakati mnafanya maigizo kwani manwajua fika akina nani wamefanya tukio.