Wadau.. Hii ni mbegu ya mahindi ambayo niliichukua kwa rafiki yangu
Lakini yeye hajui ni aina gani hakumbuki kifupi. Mimi nimepata kujua ni mbegu bora ya mahindi, lakini ni aina gani hasa kitaalamu sababu wadau wengi wananiulizia jina lake wameipemda.
Msaada kwa yeyote mwenye idea.
Sent...
Habari wakuu..
Msaada kwa anayefahamu chuo cha nursing kinaitwa CHIMALA kipo MBEYA
kimesajiliwa na kinatambulika na serikali maana sina imani na vyuo hivi kuna mtu anataka kwenda kusoma huko.
msaada wenu wadau.[emoji120] [emoji120]
Nilifikiri nimeona maajabu yote kwa dunia hii.. but jana ninemwona kijana mmoja mwenye umri wa miak 16 kaingia baa na kuagiza 4 bottle of heineken na kuzinywa zoote na kukuanza kuondoka, muhudumu wa baa alimsimamisha na kumtaka alipie huduma aliyoipata ..bila kuchelewa jamaa alitoa chet chake...
Kim Jong- Un ni mtoto wa tano na wa mwisho katika uzao wa Kim Jog-Il (Rais wa pili wa Korea Kaskazini).
Kwa sasa ndiye kiongozi wa nchi hiyo na alichukua cheo hicho baada ya kifo cha baba yake Dec 19, 2011.
Kim Jong-Un anatajwa kuwa mmoja wa viongozi wenye msimamo mkali hasa kwa nchi za...
zifa za mwanaume bora n hiz..
1.hanywi pombe
2. Havuti sigara
3. Mkweli
4. Mchamungu
5. Hachepuki
6. Handsome
7. Mpole
8. Ana hela
9. Anajua mapenzi
10. HAYUPO DUNIANI
Sisi wa Duniani tuvumiliane tu maana vita ya kumtafuta mume bora haijawahi mwacha mtu salamaa[emoji15] [emoji15] [emoji15]...
kuna watu katika marafiki ulionao ambao wanaangalia na kukagua page yako kila cku., lakini hakuna like wala coments ya aina yyte..balaa zaid n kwamba wameshindwa hata kukufuta maana wanaogopa sana watashindwa kupata updates unazopost wakifatilia kwa makini kitu gan unafanya..
Level ya uchawi ktk...
Kutembea na wasichana wengi ni mbinu mpya ambayo inaweza kumlinda mwanamke wako unayempenda zaidi asivamiwe na maadui zako..
Ingawaje n ngumu kwa mwanamke kuelewa hii mbinu.. atabaki amekununua wakati unamsaidia[emoji3] [emoji3] [emoji4]
wisdom will kill me[emoji23] [emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.