Argument yako imeconsider wakulima wore au unaangalia wafanyabiashara wakubwa? Jaribu kufikiria kwa wakulima wote kama wanaweza Fanya hilo unaloshauri, sio kuongea tuu theory zako
Mkuu nina namba A kama uko interested nicheki mkuu tunaweza ongea bila shaka..ilatembea na inapiga masafa kama kawa haina shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vema waweka matangazo ya biashara zenu muwe mnaweja nabei msiogope kwani kila mwenye kutaka kununua lazma atataka bei na si laxima apige kwanza simu ndio ajue, kuna wengine wengi tuu ambao huvutiwa na bei kwanza then ndio aje apige simu kuuliza kwa maelezo zaidi, hamjui tuu jinsi mnavyokosa...
Sina hakika na jina mkuu, kama ni jina hilo basi yamkini hata nikiulizia hapa mjini labda nitapata, ila nimeuliza baafhi ya maduka wamesema hawana ba ni ngumu kupata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.