Recent content by Nikifa MkeWangu Asiolewe

  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Ukipita ofisi hizi wapatie watumishi chochote

    Nikweli kabisa. Nina ndg zangu ni walimu, Dr,nurse nk acha tu heri mkulima!
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    Tubhusangile
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu PSL god mnamuelewa ?

    Mkuu Wacha nilale kwanza shemeji yako asije kuona jina langu ninalo tumia jeifu
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: DCI Ramadhani Kingai anakuja kunitetea. Sasa itabidi aje anyooshe maelezo. I've fought this war for 30yrs, I know how it goes!

    Nchimbi atakula mshahara Hadi anazikwa. Huku wewe ukielndelea kulamba vinyeo vya mabwanyenye! Tatizo si wewe Bali aliyekuharibu kwenye mkesha wa mwenge
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Sahihi mi nimejaribu kuweka namna unaweza ipata iwapo watakuuzia . Lakini bombonya ni Bure kabisa.
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Je majiko yanayotumia OIL CHAFU hayapo kwenye kundi la nishati safi na salama, mbona hayapewi promo na serikali wala wadau wa nishati safi?

    Acha ujuaji dumu la oil Chafu lita20 huuzwa 30k Pia Mimi Huwa nachukua bila kuomba Kwa ajiri ya mchwa. Si ghali kama usemevyo!
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Ni maabara zozote za madini maana kwetu Huwa tunaenda kupima dhahabu maswala ya ppm je ni kipimo ikohicho ndo hupima madini tofauti tofauti? Ahsante sana
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Labda ukichimba Kwa chini ndo yapo clear lakini hapa ni juu juu tu ya mwamba
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Thaman yake Iko vipi?
  10. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Sijakuelewa kabisa hata kidogo mkuu.
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Nimeyaona sehemu yapo Kwa wingi. Nahitaji mtu aliye serious na uhakika tutete naye. Ni hayo mekundu hako kengine kana mng'ao sana zaidi ya shaba na ulanga. Mimi nimebobea kwenye dhahabu na shaba na hata ulanga ila hii sio ulanga Wala shaba. Nimejaribu ku search mtandaoni nakutana na Red...
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Hivi nyie wanaume wenzangu mnaonunua malaya mnawezaje? Mbona mimi kila nikijaribu nashindwa

    Hao ni wanaume fisi. Ndio maana mitaa ya wauza nyama mbichi mingi inaitwa mtaa wa Fisi. Ni fisi tu ndo anaweza kula hao
Back
Top Bottom