Recent content by Nikifa MkeWangu Asiolewe

  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Mfano mi ndio baba mkwe wako sasa, hebu nishitakie tabia za mwanangu

    Bamkwe naona binti hajafunzwa na kungwi wa kitanga ikitoka huwa haiweki najiwekea kwani na mamamkwe hukufanyia haya ninayofanyiwa mimi na binti yenu?
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nje ya Dar, majiji mengine yana nafuu kwenye dating na kupata wife material ?

    Sahihi bikra ndo nguzo kuu kabisa ya wife material akikoswa hiyo amekoswa juu ya yote.
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kihongosi aonya vijana kushangilia vifo

    Kihongozi ni nani hadi atuonye? Mbona nchi hii inachezewa sana na Jwtz wapo kimya tu?
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nje ya Dar, majiji mengine yana nafuu kwenye dating na kupata wife material ?

    Wife material hata awe na sifa kama malaika lakini akikoswa bikira amekosa juu ya yote. Watibeli 8:21-22 Nitasoma kama ilivyoandikwa. Mwanamke awaye yote atakayekuwa sifa nzuri pia akawa na umbo zuri na mwonekano wa kupendeza na kuvutia lakini akakoswa bikira yake amekosa juu ya yote. 22 Yeye...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    MPYA Umeshawahi Kujiuliza Kwanini Ombaomba Wengi Hawana Kipara?

    Hizi tafiti zenu mwisho mtafika kwa wanaume wale wasiokuwa na nywele mikundun....
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Kongo si single mother single babaz vijana kwa wazee lao moja
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Nadhani hizo saa nk wanavua na kificha sasa shanga zile zilikuwa wazi tu. Ni ngumu tu kurudi mochwari bila kesi ya kufiwa ingekuwa sehemu ya kawaida ningeenda kuangalia bado zipo kisha niulize.
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Oooh kwahiyo kuna uwezekano kuwa waliovulishwa hizo shanga ni waumini wa kiislamu?
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Mkuu mimi semu mwenye shanga huwa sina stimu naye. Naweza kunyandua huku napiga guitar? Unakuta demu ana shanga kitovuni hadi kiunoni sasa hii si uchafu? Lazima nimwambie akayavue huko
  10. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Unaniuliza mimi au maiti? Kama ni mimi hakuna shida yoyote Ile. Ila tamaduni ya kikristo hata yesu mwili uliandaliwa na ukazingwa sanada.
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    Lakini siku hizi yetu mnamchukulia kama matako yenu tu si ndio? Utasalimie kwa jina Takatifu la yesu kisa uletwe habar za uzinzi hapa kweli
Back
Top Bottom