Recent content by Nikifa MkeWangu Asiolewe

  1. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka jijini Tanga ni KERO. Nimelipia kuunganishiwa maji tangu Aprili hadi leo sijapata maji

    Samahan mkuu Tanga sio jiji ni Kijiji tu kama ilivyo Ilyamchele
  2. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Kamati za Usalama za Wilaya ni watuhumiwa Wasiojulikana

    Daah hatari sana
  3. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Wewe naye hazikutoshi unakuwaje na urafiki na wauaji?
  4. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC tuanze tu Kugombana kwa Upumbavu Wetu, ila Yanga SC wakiwa Mabingwa tena tusianze Kulalamika kuwa Wanabebwa sawa?

    Makolo wanaupungufu mkubwa mno wa akili ushauri tumeshatoa kuwa watumie hata akili za wake zao(shemeji zetu) Mangungu alichaguliwa na wanasimba wenyewe hakuna mwanachama au mshabiki wa yanga alienda kumchagua mangungu siku hiyo. Sisi tunapenda namna alivyo na akili yake ilivyokubwa na...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC tuanze tu Kugombana kwa Upumbavu Wetu, ila Yanga SC wakiwa Mabingwa tena tusianze Kulalamika kuwa Wanabebwa sawa?

    Wacheze wanakochezaga ila mangungu aachwe kama alivyo.period
  6. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza kupata unga wa dagaa omena wenye ubora wa juu

    Mkuu Mimi hiyo omena sijui ila Kwa habari ya uduvi tunaweza fanyabiashara
  7. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Ukitaka hela za haraka fungua kanisa kuna majinga mengi; kinachoendelea Kawe kwa Mwamposa kinasikitisha

    Kweli nakubaliana nawewe Kuna kanisa la Mungu wa bendera hapa jirani huu ni mwaka wa 8 Ni boma tupu na alianzisha mwenyewe Kwa hela zake! Hadi Leo wanasalia kwenye mabati
  8. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Huku hakuna mashamba ya kulima Wala ajira everyday is weekend wahudumu wenyewe Wana bikira😹😹
  9. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Karibu pepon kila siku ni weekend tu
  10. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Iwapo Salum Mwalimu angeshinda urais basi Kigaila angekuwa Waziri mkuu wetu!

    Mazungumzo yote yapo kwenye page ya Chief Odemba Facebook. Kwa kifupi sana hii nchi raia tunaonwa kama matako Yao tu kama ni hivi asee
  11. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Kama Kuna mito ya pombe na bikira kwann kusiwe Raha mstarehe?
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Pepon Raha tupu mkuu.
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Fununu😤

    Mimi nipo Peponi nakunywa zangu pombe za kwenye mito then badae nikashenyente bikira zangu 72 hayo huku hatuyajui kabisa na hayako. Karibu pepon
  14. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Watu wapumbavu kama ninyi Huwa natamani tuonane tuwapige upumbavu uwatoke. Ni wapi na lini injiri ikachezewa hivi kwenye maandiko?
Back
Top Bottom