Recent content by nikasale

  1. N

    Wana Ndoa: Ikitokea Papa au Serikali wakafuta Ndoa zote:

    Ettti ikitokea papa,au serikali,Ndoa ni tasisi iliyoanzishwa na Mungu mwenyewe,kuwa makini na kichwa cha habari
  2. N

    Rais Donald Trump kukutana na Rais Paul Kagame Davos, Uswis

    Itakuwa majabu,ya dunia Leo hii,marekani amchukie kagame,wakati ndie mtumikaji kuiba Mali za Congo,au amchukie mseveni,itakuwa vituko
  3. N

    Dr. Magufuli Regime against Kakobe perception

    Ni upuuuzi,tu,waliomezeshwa,kwamba katoliki,ndio kuna maaskofu,onyesheni kwenye biblia mahali neno,katoliki limeandikwa,au dhehebu lolote,mpaka mjimilikishe,udaraja wa uaskofu,hicho ni cheo cha utumishi wa Mungu kwa wote ,acheni kukariri,neno LA Mungu kama litulujia,mnayoimba,huku matendo...
  4. N

    Jumuiya yetu ya Kanisa Katoliki imevunjika sababu ya michango kuwa mingi

    Hela za kutunzia wajane na yatima zinatoka WAP?
  5. N

    Mpenzi wangu baada ya kufika chuo anataka baada ya miaka 4 ndiyo nimuoe

    Sio huyo tu,hii ni sample ya jinsi wtz tulivyo wavivu wa kufikiri,simple case unashindwa kutambua kama dili limeisha ,au huyu mleta mada hajawahi kwenda chuo,ajionee mwenyewe
  6. N

    Ni aibu kiongozi wa dini kuitupa injili na kutumika kisiasa

    Kwani,kubadilisha ni kazi saaana,basi hatuaamua
  7. N

    Kwanini Josephat Mwingira ana ulinzi wa kufuru?

    Mmmmmmh,pengo mfipa wa laela,sumbawanga kama mapadri anawongoza wameoa,na kuzaaaaaa ,sana tu,itakuwa yeye?mtakatifu niWewe tu,ulivyo usimsemeeeeee,MTU,
  8. N

    Nabii Shepherd Bushiri amnunulia bintiye wa miaka 5 gari aina ya Maserati Levante lenye thamani ya Tsh 926 milioni

    Ni umaskini wetu tu,ndio maaana comment nyingi,lakini katika prosperity life kitu cha kawaida,na maskini wengi jehanamu ya kwao,kwanza maombi ya maskini asilimia 70 ni malalamiko tu,na kudhani tu kila anaefanikiwa sana basi,Mungu hawezi kumfanya hivyo ila shetani,tunahitaji kuwa wacha...
  9. N

    Wakili Albert Msando na Zitto Kabwe wajibizana kuhusu mafao ya wastaafu kukatwa kodi

    Wewe unaetetea,na kumkosoa zito ni mpumbavu na mjinga,na sio mzalendo,tangia lini Mtumishi wa serikali mwezi ukapita bila kukatwa kodi mpaka aje kudaiwa kwenye pension,acha kutetea wizi,sisi wafanyakazi haijawahi kutokea usikatwe kodi kwenye salary slip tens kila mwezi,hiyo ,,,,claim of income...
  10. N

    Kesi ya Babu Seya na wanae - Ukweli ni upi haswa?

    Walimsingizia tu,kisa tu,_______'????????????
  11. N

    Hospitali ya Mwananyamala imempoteza ndugu yangu kizembe

    Pole,sana,ndugu,lakini kwa wabongo mlivyo,wangepokea hela kukusaidia ili wakupe lisiti,aijalishi,angekuwa mzima,au hv,wewe ungewahi takukuru,ASB na mapema
  12. N

    Nape Umeonyesha Upendo Mkubwa leo

    Ni nape tu mwenye roho hiyo,
  13. N

    Kumbe kufilisika kupo? Kama hili linawatokea Roman Catholic, sisi wengine je?

    Ni aheri umemjibu,ndio hao wamekariri kuwa masister hawafanyagi mapenzi
  14. N

    Mheshimiwa Rais tunaomba uondoe malipo ya overtime serikalini

    Ulietoa post ,hii,utakuwa umetumwa,na shetani,Mungu hana mambo hayo,maana call allowance alibaki akalipa mwezi wa 11,2015 kikwete jakaya tangia hapo hakuna halmashauir iliyotumiwa hiyo fedha,sassa ifutwe Mara ngapi,lakini bado madaktari,wanaitwa zamu,usiku,muda ambao ilitakiwa wawafurahishe wake...
Back
Top Bottom