Huyo ni Nape sio ccmHiyo ndio CCM mkuu, hatuna ubaguzi! Watu wote kwetu ni sawa bila kujali rangi, itikadi, au mahali anapotoka. CCM oyeeeeeeeee
Wadau
Leo mida ya leo mchana Mhesh Nape alipita maeneo ys soko kuu Arusha karibu na kijiwe cha kahawa maarufu kwa makada wa chadema.
Kilichonifurahisha akiwa ndani ya gari lake makada hao wa chadema bila uoga walimfuata kumsalimia na kisha kumuomba Kada huyo wa CCM angalau awapatie awapatie hela kidogo kwa ajili kahawa na kashata.Bila kusita wala kujali itikadi tena kwa moyo wa ubinadamu na kuzingatia hali zao Mhesh Nape aliwapatia vijana hao hela kidogo kisha kuendelea na safari yake.
Ukweli jambo hili ulilolifanya limenifurahisha sana kwani limeonyesha kuwa kwa uosnde wa CCM siasa sio uadui. Kwa siku ya leo kumekuwa na utulivu eneo hilo na upendo umetawala.
Hongera sana Kada wa CCM
Karibuni.
Ndio mnachowaza kahawa na kashata....kama Viongozi wenu walivyokuwa wamezoea na kulilia kwenda IKULU kunywa chai ya maziwa na vitafunwa.
khee yamekua hayo tena jamaniMbona si si tunatoa hela ya chai kwa wapiga debe n hatuji kutangaza.Wanasaisa ni watu hatari sana wanatoa chenchi zao ila wapate public publicityWadau
Leo mida ya leo mchana Mhesh Nape alipita maeneo ys soko kuu Arusha karibu na kijiwe cha kahawa maarufu kwa makada wa chadema.
Kilichonifurahisha akiwa ndani ya gari lake makada hao wa chadema bila uoga walimfuata kumsalimia na kisha kumuomba Kada huyo wa CCM angalau awapatie awapatie hela kidogo kwa ajili kahawa na kashata.Bila kusita wala kujali itikadi tena kwa moyo wa ubinadamu na kuzingatia hali zao Mhesh Nape aliwapatia vijana hao hela kidogo kisha kuendelea na safari yake.
Ukweli jambo hili ulilolifanya limenifurahisha sana kwani limeonyesha kuwa kwa uosnde wa CCM siasa sio uadui. Kwa siku ya leo kumekuwa na utulivu eneo hilo na upendo umetawala.
Hongera sana Kada wa CCM
Karibuni.
Wewe unaona kawaida na sawa kwa midume mizima kuomba hela dume jenzao ya kununua kahawa na kashata!?![]()
![]()
khee yamekua hayo tena jamani
Hiyo ndio CCM mkuu, hatuna ubaguzi! Watu wote kwetu ni sawa bila kujali rangi, itikadi, au mahali anapotoka. CCM oyeeeeeeeee
kama siasa sio uadui mbona CCM jana mmevamia mkutano wa CHADEMA Mbweni?? Kama siasa sio uadui Tunduru ACT WAZALENDO wamevamiwa na vijana wahuni wa CCM?? kutoa elfu 20 hakufuti ujinga mnaoufanya CCM kwa wapinzaniWadau
Leo mida ya leo mchana Mhesh Nape alipita maeneo ys soko kuu Arusha karibu na kijiwe cha kahawa maarufu kwa makada wa chadema.
Kilichonifurahisha akiwa ndani ya gari lake makada hao wa chadema bila uoga walimfuata kumsalimia na kisha kumuomba Kada huyo wa CCM angalau awapatie hela kidogo kwa ajili kahawa na kashata.Bila kusita wala kujali itikadi tena kwa moyo wa ubinadamu na kuzingatia hali zao Mhesh Nape aliwapatia vijana hao hela kidogo kisha kuendelea na safari yake.Naamini Mhesh Nape alikuwa kwenye majukumu mazito yakichama lakini aliona nivema tena kwa busara kubwa atumie muda huo mfupi angalao kuwasikiliza na kuwasaidia makada hao wa Chadema.
Ukweli jambo hili ulilolifanya limenifurahisha sana kwani limeonyesha kuwa kwa CCM siasa sio uadui bali maendeleo. Kwa siku ya leo kumekuwa na utulivu eneo hilo na upendo umetawala.
Hongera sana Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mbunge wa Mtama.
Karibuni.
extent...Dont be cheap to that extend!....
another idiotWadau
Leo mida ya leo mchana Mhesh Nape alipita maeneo ys soko kuu Arusha karibu na kijiwe cha kahawa maarufu kwa makada wa chadema.
Kilichonifurahisha akiwa ndani ya gari lake makada hao wa chadema bila uoga walimfuata kumsalimia na kisha kumuomba Kada huyo wa CCM angalau awapatie hela kidogo kwa ajili kahawa na kashata.Bila kusita wala kujali itikadi tena kwa moyo wa ubinadamu na kuzingatia hali zao Mhesh Nape aliwapatia vijana hao hela kidogo kisha kuendelea na safari yake.Naamini Mhesh Nape alikuwa kwenye majukumu mazito yakichama lakini aliona nivema tena kwa busara kubwa atumie muda huo mfupi angalao kuwasikiliza na kuwasaidia makada hao wa Chadema.
Ukweli jambo hili ulilolifanya limenifurahisha sana kwani limeonyesha kuwa kwa CCM siasa sio uadui bali maendeleo. Kwa siku ya leo kumekuwa na utulivu eneo hilo na upendo umetawala.
Hongera sana Kada wa Chama cha Mapinduzi na Mbunge wa Mtama.
Karibuni.
Mpaka umeni correct, it mean ulielewa maana yangu yote!. So ulikuwa unatakiwa utoe comments zako kwenye maanada husika badala ya kurekebisha kiingereza changu!extent...
means...Mpaka umeni correct, it mean...