Mkuu naomba ufafanuzi...Nijuavyo Gen Amran Kombe aliuawa kwa kupiwa risasi kihisiwa kuwa ni jambazi...ama order
Wakati Kombe anauawa alikuwa amekwisha staafu katika nafasi ya mkuu wa idara....na mkuu wa idara alikuwa ni Apson Mwang'onda..Sio kuwa Mwang'onda alikuja kuwa mkuu wa idara baada ya...
Suala la mgombea binafsi haliepukiki hata kidogo....Kwa tamko hili na kushadidia hoja hii...Automatically unakubaliana na hoja ya kuwepo mgombea Binafsi.
Maana Katiba yetu ina utata katika suala hili...Kama Chama kikijiondoa kwenye uchaguzi..kiujumla mgombea yoyote kupitia chama hicho anapoteza...
Alichokiongea mengi ni sahihi...Mbona Yanga haichezi soka zuri hata kabla ya Dr Msola hajawa mwenyekiti?
Kwahiyo hata usajili wa wachezaji wa kimataifa ni Dr Msola amewapendekeza...
Aaah hakuna kocha mle ni dalali tu..
Unapomuona mwanaume wako( Mwenza wako katika mahusiano yenu) amekuwa na tabia za kukuomba picha za utupu umtumie kupitia Wasap au anapiga video Call...huku akitaka umuoneshe maumbile yako ukiwa uchi.
My Sisters..Huyo mtu hakufai sio tu kuwa mpenzi bali hata rafiki. Hayo si mapenzi.
Mwanaume...
NA
NIHZRATH NTANI
WAKATI mwili wake utakapokuwa ukishushwa katika ardhi ya mji wa Rosario. Ni kilomita 300 kutoka mji mkuu wa Buenos Aires nchini Argentina.
Ni ardhi ile ile iliyowameza wachezaji maarufu na mashujaa wetu hata wapendwa wetu.
Ardhi isiyo na huruma hata kidogo. Ni katika mji huo...
Has Real Madrid gone into a decline?
The core team that won 3 in a row consisted of
Keylor Navas.
He was nowhere near the best in the world, not like Neuer or De Gea (in 2014–2017) but he was very, very instrumental, inspiring the team on, making adequate saves and not losing a single KO...
Hii shule ina utamaduni wa kila unapokaribia mtihani wa form six...mwanafunzi lazima afe...tena anayekufa ni wa form six na huwa kutoka mchepuo wa sayansi...
Hiki sio kifo cha kwanza au cha pili katika staili hii..tena wanakufa ghafla tu...
Kwahiyo kuna tatizo ndani ya shule hiyo..jamii na...
NA
NIHZRATH NTANI
Jioni moja ya mwaka 1977 ndani ya mji wa Bologna nchini Italia. Vijana wadogo wenye umri kati ya miaka 15-18, walikuwa na mechi kati yao. Mechi yao iliwakutanisha watoto wa kutoka sehemu ya Tuscany na wale kutoka eneo la Forte du Marmi.
Ni mechi iliyojaa upinzani mkubwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.