TATIZO NI KWAMBA wewe Huna uchungu NA NCHI yako hao WENYE Shule ZA binasfi wamegeuza biashara haramu hata Kama NI Ada waangalie hao wazazi wanaolipa sio WOTE WENYE uwezo huo, SASA KWA magazine yako butu usiturudishe NYuma . Tumuunge mkono JPM atuondolee udhia HUU . ACHA UJINGA FUNGUKA
Jenerali leo umenigusa katika hili nimekuwa nikifuatilia sana maandiko yako nikweli tunajaribu upuuzi na sasa tumeuona angali Waziri anakwambia hela ya mboga million 10, mwingine vijisenti eti bado wanapumua na sisi tunachelekea kama sio upuuzi wa Kikongo utakuwa nini?!
Tatizo lako unadandia gari kwa mbele unfetulia ungemwelewa J Ulimwengu, hiyo ni fasihi kwa hiyo usilichukulie neno kavukavu utaishi kijaribu uupuuzi wakati wewe sio
Waacheni wakatoliki katika hili, wao wanamipangilio katika kutafuta thamani ya binadamu katika dunia hii na si kuchagua rais awe nani , mmeanza kupakazia watu eti sababu tu ni wakatoliki wanahaki ya kugombea nafasi yoyote kama watatimiza vigezo na si ukatoliki wao. Ukatoloki wa pinda usiwe...
Ndugu yangu JM wazo lako zuri sana, lakini omba kwanza ushauri jipime Mara Saba then amua.kuna wengi wametoa comments zao. Zipitie tena na tena. Ukiona kama kweli una fit kuwa Rais endelea lakini kama ni mihemuko ya ujana endelea kujiandaa. Wakati ukifika utaona tu wewe mwenyewe unaombwa au...
Wewe kama ungelijulikana wangepata pa kuanzia Kwani ni dhahili unajua linaloendeleA. Ole wako ungekuwa shujaa, maana ungelisaidia huo Ugaidi ukomeshwe.cha kushangaza we ni mdini tu. Huna maana wala akili mzigo tu.
Káma kweli JK alilijua hili kuna haki ya kila lawama kumwangukia, na kama ni kweli ameingia kwenye dhambi ya ubaguzi hata acha, na dhambi hii itaendelea kumtafuna na ´kumtafuna. Mpaka atakapotubu but Time will tel.
Kama kuna ukweli wowote juu ya hili huna budi kuliweka hadharani ili.ashugulikiwe kama alivyolfanywa Kalamagi. Maana kuendelea kulalama bila kusaidia nchi ni sawa na kuungana nao.
Siko tofauti na wewe lakini.sera hii imepotoshwa na CCM.matokeo yake inaonekana kutaka kugawa nchi hivyo, Hatuna budi kuendelea kuuelemisha umma tukitilia Maanani matokeo ya suala la gas lilivyoshughulikiwa na wananchi wa huko. Vipi Geita,ShinyAnga na kwingineko kama Mtwara?
Hii ndio haasara ya kuwa Na viongozi wanaoangalia maslahi ya familia zao na marafiki wao.kama wangefuata approach ya down top haya yasingelitokea. Sasa wacha iwatafune kama Ile dhambi aliyokuwa akiiserma Mwalimu
Inatia simanzi sana kama ukilifikiria kwa undani suala la walimu. hebu angalia nyumba hizo; natumai umefika wakati wa walimu wenyewe kutumia ushujaaa kama wa Mgaya kwa kuuungana na kukataa kuendelea kutaabika chini ya mwamvuli wa CCM: Dr Slaa alisema Elimu iwe bure kuna watu walimbeza sana. Leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.