Hivi ile DIPLOMA aliyokuwa akisoma huko chuo cha ualimu Morogoro alimaliza? Alifukuzwa au alisitisha?
Alikwisha wahi kuandika barua kwa mwajiri wake kuacha kazi?
Alikwisha wahi kuandika barua ya kuomba likizo bila malipo?
Mwaka 2011 alifanya paper la form six, Hkl akapa A tatu yaani division 1 ya point 3. Mie najua hili tu.
Nafikiri mkurugenzi wa halmashauri ana majibu murua kuhusu huyu mwalimu wake.
Atalipwa hadi akimaliza urais wa wanawake Tanzania..na hakuna wa kumfunga paka kengele!chezea visasi wewe?zamu ni yao sasa kama hutaki shauri yako ila ndio hivyo!
Mwaka 2008, juni niliwahi kuambiwa mtumishi wa Wizara ya Fedha kuwa Mwl Salma japokuwa si mtumishi wa Serikali lakini bado alikuwa anapokea mshahara toka Serikalini. Yaani mshahara ulikuwa unaingia katika account yake.
Miezi kadhaa baada ya walimu kuingia mgogoro na Serikali kupitia CWT, ulianza mkakati/zoezi la kuhakiki walimu hewa. Minong'ono iliendelea kuhusu Mwl Salma
Swali la msingi ni lini Mwl Salma aliondolewa/aliacha kulipwa na Serikali kama mwalimu (mtumishi wa serikali)?. Ikumbukwe alianza kuingia kwenye kampeni za Uchaguzi mkuu toka Septemba 2005.
MUHMU:Kama hujui lolote pita kimyakimya, wako wenye majibu ama dokezo/dondoo zitakazotupeleka kwenye majibu.