Wazungu wanjanja sna wametuacha tuchukue midenge yetu then watuondoe kwenye mfumo wao. And bad enough mkurugenzi anadai tunadaiwa madeni makubwa ila hakumbuki ni kiasi gani
Maswali ya uchochezi yanakuja je mkurugenzi alikuwa wapi kutojua haya mapema hadi leo? Kwanini umekua sasa baada ya ndege...
I love c programming language kwa kweli. Though ninaweza ku-program kwa Pyhton na C++ but I like C language coz ni language nzuri kwa kuanzia. C++ ni very complex kama hutafuatilia syntax zake.
Wanaita hayo majina wakidhani watoto wao watakuwa kama hao wenye hayo majina. Mfano, mtu anamwita mwanae Jaden utadhani atakuwa kama Jaden Smith hahaha. Wanangu wote nimewapa majina ya kiasili regardless of their meanings.
Mmoja anaitwa Nyabasi Nyamuhanga Chacha, mwingine anaitwa Rehema...
Yani mimi nashindwa kuelewa hawa viongozi wetu uwa wanafanya nini wakiwa kwenye nafasi zao za kazi.
Hivi inakuaje miaka yote hiyo zaidi ta 15 leo hii amekuja Rais mwingine ndyo wanajua kuwa Airtel/Zain ni mali ya serikali? Ina maana muda wote huo mkurugenzi mtendaji wa TTCL alikua hajui nini...
Hapo kuna ma Engineers au ni technicians.? How come eti wanaojiita ma Engineers 50 wameshindwa kuchunguza na kugundua tatizo la ndege tena kwenye field waliosomea? How come nauliza tena? How 50 Engineers.? Au hasa ni ma technicians kutoka VETA? I don't believe this
Humphrey PolePole anazungumzia Tanzania kama nchi ya Ujamaa. Hivi huyu mtu anajua maana halisi ya Ujamaa? Nchi ya Ujamaa, ambayo viongozi wake wameshindwa kumuenzi baba wa taifa Mwl. Nyerere?. CCM na viongozi wake wameshindwa kuwa na dira ya maendeleo, CCM ambayo viongozi wake wameshindwa kujibu...
Nani aliyekwambia kuwa UKIMWI umetoka kwa Mungu? Hujui hata historia ya UKIMWI. Bora ungenyanaza tuu kama vitu hujui. UKIMWI ni artificial made and Earthquake is a natural phenomena. You have to use your brain when it comes to thinking.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.