Huwezi kulazimisha uongo ukawa ukweli ndugu hata ukiongea maneno mengi lakini jua kuwa tayari sheria imeshachukua mkondo wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Penyewe wanasema unga wa dona una madhala mafuta ya alizeti ambayo yalikuwa yanapewa kipau mbele kuwa ni mafuta bora kwa sasa yamekuwa tena hayafai sasa ni kipi kilicho bora kwa sasa?
Kama hataki kuja kukaa kwako ujue kua hilo jitu nibora zaidi kuliko wewe jiulize kwa nini ang'ang'anie kupanga wakati nyumba yako unadai kuwa ipo tayari? Huenda hata hapo anapoishi kodi halipi yeye
Yaani wewe umeheshimiwa sana na huyo kijana kwakuleta hiyo posa kwani kwa sasa posa zimekuwa adim sana njia inayotumika sasa nikumimbana halafu utasikia ngoja tukajaribu maisha hapo imeshatoka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.