Ndio maana akasema vyote alivyofanya, angepitiliza kama sio akina mwakyembe na slaa kumbambikia tuhuma ambazo sio za kweli, then mtu makini anaachia ngazi ili uchunguzi ufanyike, nani mwingine toka enzi ya hayati sokoine kafanya hivyo..!? Edo ndio mwenyewe 2015 kura yangu atapata..!!
Mbona unatokwa na povu namna hiyo? na wewe ndio zako kwenye magari nini, unatetea nini sasa..!! we yule binti unamjua? hata kama anaishi kenya hawezi kuja kumfuata baby wake bongo wakati kuna usafiri wa aina mbalimbali, acha kutetea upuuzi wewe..!!
We unataka no za simu ya nini..!? au unataka ukale pilau! mi nashangaa ina maana wakati wazazi wake wanaangaika na vyombo vya habari vikatoa taarifa zake ina maana waziri wa afya hakulisikia hili..!? na ungekuta ni mtoto wa kigogo angeshakwenda na taarifa zake tusingezisikia, mbona marehemu pepe...
Sikumfahamu kivile zaidi ya around the corner na kwaya ya lulu, sauti iliyotulia na inayovutia kuisikiliza, pole mke na watoto wa mwimbaji nguli, mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi, Amen.
Kwakweli ni tukio baya na ambalo lazima wahusika wakamatwe na waadhibiwe vikali, mama mzazi wa binti amelalamika waalimu wa hiyo shule hawakumpa ushirikiano wowote nao pia wawajibishwe, tunaomba katika hili rushwa ya aina yoyote isipewe nafasi cause itamnyima huyo binti haki yake, uchunguzi wa...
Hivi lundenga anataka siti aachie taji peke yake ila zawadi abaki nayo..!? hamna kitu kama hicho ukiachia unaachia kila kitu, na sio amerithi taji kama anavyosema huyo ndie alistahili kuwa miss tz siku ile mlimani city, na sio zawadi za miss tz peke yake na huko mwanzo alipotoka azirudishe...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.