Pinda hafai tena kugombea urais !

Pinda hafai tena kugombea urais !

Kwa kauli aliyotoa Pinda jana bungeni, inatosha kabisa pasi na shaka kukosa vigezo vya kugombea nafasi ya juu kabisa ya kuongoza nchi hii.

Nasema hivyo kwa sababu ameonekana wazi wazi kutoka kuzima jambo hili kwa maslahi binafsi ama yeye mwenyewe au kulinda kundi la watu waalifu na wezi.

Kwa nchi yenye watu makini swali ni moja tu, kama kwa nafasi yake kwa waziri mkuu na matarajio yake ya urais ameweza kudiriki kufanya vile je akipewa nafasi hiyo kubwa ataficha maovu mangapi na wakati huo atakuwa na rungu la kufanya hivyo?

Pinda umeshindwa kabisa kusoma alama za nyakati kweli? Natamani ungejua sisi wananchi tunakuonaje huku kitaa.

Hakika umekosa sifa, umekosa upako, umekosa weledi na zaidi umekosa wofu ya Mungu!

Pinda umejitoa mwenyewe katika kinyang'angiro cha urais.
Pinda sasa hata ubunge si halali yako kwani ukifika bungeni unaweza kukosa nafasi ya uwaziri na si hekima kwa mtu aliyekuwa waziri mkuu!

Pinda jana ilikuwa tarehe 20/11/2014 hutasahau tarehe hii!

Mimi sijawahi kuona anafaa hata huo uwaziri mkuu, sembuse urais..!!
 
Mtoa mada maelezo yoote hayo hujaweka hata sentence moja ya alichosema. Au naamini watu wote walimsikia?

Kama hukusikia alichosema basi huna haja hata ya kufuatilia uzi huu!
 
Kwa kauli aliyotoa Pinda jana bungeni, inatosha kabisa pasi na shaka kukosa vigezo vya kugombea nafasi ya juu kabisa ya kuongoza nchi hii.

Nasema hivyo kwa sababu ameonekana wazi wazi kutoka kuzima jambo hili kwa maslahi binafsi ama yeye mwenyewe au kulinda kundi la watu waalifu na wezi.

Kwa nchi yenye watu makini swali ni moja tu, kama kwa nafasi yake kwa waziri mkuu na matarajio yake ya urais ameweza kudiriki kufanya vile je akipewa nafasi hiyo kubwa ataficha maovu mangapi na wakati huo atakuwa na rungu la kufanya hivyo?

Pinda umeshindwa kabisa kusoma alama za nyakati kweli? Natamani ungejua sisi wananchi tunakuonaje huku kitaa.

Hakika umekosa sifa, umekosa upako, umekosa weledi na zaidi umekosa wofu ya Mungu!

Pinda umejitoa mwenyewe katika kinyang'angiro cha urais.
Pinda sasa hata ubunge si halali yako kwani ukifika bungeni unaweza kukosa nafasi ya uwaziri na si hekima kwa mtu aliyekuwa waziri mkuu!

Pinda jana ilikuwa tarehe 20/11/2014 hutasahau tarehe hii!

Kumbe mwenzetu ulikuwa hujafahamu hilo hadi scandal ya escrow! pole sana, watu wengi wametangaza nia baada ya kuvuta mkwanja lakini credibility ni zero.Hamia AIRTEL ndugu
 
Kahama MP James Lembeli (CCM) said the country was at a crossroads and that it was only the august House that could return it to normalcy before it degenerates into a chaotic state.

“Presently, only Parliament and the Military enjoy people’s confidence. By seeking to frustrate us, we risk losing face and jeopardising the security of this country. How can someone take public money then when asked to give clarifications just tell you that Sh1 billion was legal consultancy fee while our people are suffering in hospitals without medicines?’’ he said.
 
Ali Mohamed Shein, where are you. Step up my brother, it is your turn. Rais mtarajiwa mwenye ndoto za kuona Tanzania isiyo na dhuluma wala wizi.
 
Pinda hajui asemalo, alipo kwenda kwa wafadhiri alionekana kuchukizwa na hali ya wizi wa escrow, lakini jana ameongea pumba na aibu tupu...na hali itakuwa mbaya zaidi mara itakapo dhibitika ni muusika...tatizo la pinda hajitambui... na ninawasiwasi mkubwa kama anajua yeye ni waziri mkuu!

Sina matatizo na fahiwa ya maandishi yako, ila najiuliza kweli tumefikia kiwango hiki katika kuandika insha ya Kiswahili? Tazama makosa yaliyomo:
alipo kwenda= alipokwenda. wafadhiri= wafadhili. itakapo dhibitika=itakapothibitika . Muusika= mhusika. ninawasiwasi= nina wasi wasi. waziri mkuu= Waziri mkuu! Na wewe kwa kweli nakuamini ni msomi na una akili nyingi kuliko baadhi ya maprofesa-madokta wa nchi yetu! Jamani, hata Wakenya waje watushinde katika Kiswahili? Baada ya riadha, uchumi, usomi? Hatuna ghera sisi?
 
Tatizo kubwa la Pinda ni kutojiamini maana kila akijiangalia kwenye kioo analia,anampa sana shida mkewe kumbembeleza na ilibidi mama Pinda atoe amri ya kuondoa vioo vyote vyumbani kwao.Aishi kulalama eti kwanini hakupewa sura na rangi kama ya mzee wa tezi dume ilhali Uongozi anaweza
 
Pinda hata nafasi ya uwaziri mkuu hakustahili, wewe unapewa mamlaka halafu unalialia tu, hatufai hata kidogo. Sasa ni bora angejiuzulu mapema, nasema mteteaji wa wezi naye ni mwizi ;apigwe tuu kama anahusika kwa namna moja au nyingine.
 
Kahama MP James Lembeli (CCM) said the country was at a crossroads and that it was only the august House that could return it to normalcy before it degenerates into a chaotic state.

“Presently, only Parliament and the Military enjoy people’s confidence. By seeking to frustrate us, we risk losing face and jeopardising the security of this country. How can someone take public money then when asked to give clarifications just tell you that Sh1 billion was legal consultancy fee while our people are suffering in hospitals without medicines?’’ he said.

Alitumia Kingereza au wewe ndo umejifanya Mwingereza? Mnukuu kama alivyosema na kwa Lugha aliyotumia.
 
ndani ya ccm huwezi kumpata mtu anaefaa kuwa Rais wa nchi hii, hangekuwepo mtu anaefaa lazima hangewarekebisha wenzake, atakayetufaa ni lazima atoke nje ya uongozi wa ccm
 
Napenda kuwaambia wana jf kuwa mtoto wa mkulima kulingana na hii kashfa na wiz wa mabilion ya escrow basi urais asahau,afadhal aende tena BBC akatangaze chinichin tena kwamba mambo yamefka shingon hivyo kwa ishu hii hatoki na pia hagombei!,kwan hata kama hajahusika alikuwa wapi haya asiyafahamu.Kung'atuka hakuepukiki!
 
Duh yumo?
Atajuta kutatangaza.
Hivi baba Rio karudi? Anayajua haya?

Akafuge nyuki
Mzee mnafiki sana Eti bunge lisiingilie mahakama
Badala mahakama isiingilie bunge.

Hopeless PM than ever happened before
 
Back
Top Bottom