Kama ingekuwa ni mafuta ningesema ni kamchezo unajua inakuwaje wakuu...
-Tank zinapigwa full
-Mafuta yanauzwa karibu yote
-Mtu anachukua chake
-Yanaachwa mafuta machache tu
-Kisha gari inapigwa moto
-No ushahidi tajiri gonjwa ya moyo
-Watu wanaanza maisha mapya
Ila kama ni lami sjajua kama ni kamchezo ila bongo inahitaji ubongo kuishi aisee,POLENI SANA.