Majira ya saa 6.58 pamekuwepo na tetemeko la ardhi hapa Arusha.
Mtetemesho haukuwa wa kutisha sana ingawaje tuliokuwa ghorofani tumepata hofu kidogo
Majira ya saa 6.58 pamekuwepo na tetemeko la ardhi hapa Arusha.
Mtetemesho haukuwa wa kutisha sana ingawaje tuliokuwa ghorofani tumepata hofu kidogo
We ulikuwa juu ya miti unajifanya uko ghorofani, au hilo tetemeko lilitokea ulipo au..!?